Hii niliishia episode ya pili kisa ushoga1899 Netflix wameshaicancelhakutakua na season 2 labda itokee kampuni nyingi inunue rightsView attachment 2674732
Ulidownload bila kuangalia?? Mimi sasahivi series ili nidownload angalau iwe imefika episodes 6Aliye itaja Series ya Hijack alaaniwe. Anawezaje kutaja series nzuri yenye episodes mbili tu? Kusababishiana uraibu
Mwenye elfu 15 nimgawie GB 10 za kutumia mwezi View attachment 2674734
Unatumia TigoNaomba
NdiyoUnatumia Tigo
Yahusu?Kuna Tv Show inaitwa Messiah ... Hii Series Ni Moja Ya Series Bora ambayo haijawai tokea .. Na-recommend kwa kila mwana JF aangalie hii series, Unfortunately ina Season 1 tu na Season 2 wame-cancel kuitoa ... Guy's it worth watchin
Recap... Ikitokea Yesu/Issa amerud tena duniani kwa mara ya pili, Je watu mtamuelewa au mtamuonaa mzushi flaniYahusu?
Na kwanini wameisitisha
KaleidoscopeNipeni series ya kuangalia jamani inayoendana na hizi mbili maana nimemaliza kuziangalia sitaki zingine naona Kama Ni mbaya
Breaking bad
Prison break
Nasikia kulikua na issues za ushoga na vitendo vya ANTI ISLAMIC ndo maana wananchi wakaipiga vitaKuna Tv Show inaitwa Messiah ... Hii Series Ni Moja Ya Series Bora ambayo haijawai tokea .. Na-recommend kwa kila mwana JF aangalie hii series, Unfortunately ina Season 1 tu na Season 2 wame-cancel kuitoa ... Guy's it worth watchin
Jaribu MONEY HEISTNipeni series ya kuangalia jamani inayoendana na hizi mbili maana nimemaliza kuziangalia sitaki zingine naona Kama Ni mbaya
Breaking bad
Prison break
Hapana watu wa dini wali-panic ingawa ile Series haikuwa biased na dini yeyoteNasikia kulikua na issues za ushoga na vitendo vya ANTI ISLAMIC ndo maana wananchi wakaipiga vita
Vipi kuhusu ushogaHapana watu wa dini wali-panic ingawa ile Series haikuwa biased na dini yeyote
Scene ya ushoga cjaiona tajir kwenye hiyo Series labda kama ntakuwa nimesahau bt as far as I remember ckuona kitu kama hicho ... So far Tv shows za sasa content za ushoga ni nyingi sana bt either way hazijawai fungiwaVipi kuhusu ushoga
OkScene ya ushoga cjaiona tajir kwenye hiyo Series labda kama ntakuwa nimesahau bt as far as I remember ckuona kitu kama hicho ... So far Tv shows za sasa content za ushoga ni nyingi sana bt either way hazijawai fungiwa
Hapana mkuu hio niliangalia season 1 nkaona ni upuuzi mtupuJaribu MONEY HEIST