Series (Special thread)

Drug dealer mmoja anaitwa Santo anatafutwa na serikali za uhispania na El Salvador ana tumia damu ya watoto kunywa ili asikamatwe na vyombo vya Dola ...
Japo hua sio shabiki sanaa wa movies za hao drug dealers ila nitaiangalia
 
Niko hapa nimemaliza Season 2 episode 2, sijui niandike nini?? maana walio kuja na bus imekula kwao kingine ubishi sio mzuri wenzako wako ndani wewe unakimbia nje au una lala kwenye gari maana yake nini???
Ila kuna sijaelewa yule mzee anaitwa Martin aliwezaje kutupa kamba kwenye shimo???? wakati alkuwa amefungwa
 
Mkuu unaeleza as if wote tunajua hiyo movie ebu tujue unazungumzia movie ipi?
 
Aisee nilijiuliza pia ila nikakumbuka kuna miti ina shimo ukiingia unatokea inakotaka yenyewe... Mambo mengi huwezi elewa ni mystery mwanzo mwisho.
Labda aliipiga teke ile kamba ikaingia shimoni.
 
“They touch, they break, they steal. No one here is free. Here they come, they come for three. Unless you stop the melody.”.

Boyd akisikia melody au music box anachanganyikiwa mbaya.
 
Season 2
Joel atauwawa, ellie atarevenge kifo cha joel
Nshamaliza kucheza kwenye PS4
 
Season 2
Joel atauwawa, ellie atarevenge kifo cha joel
Nshamaliza kucheza kwenye PS4
Wewe unasema season 2 wakat mzigo unatabiriwa kwenda mpka season 5 maana mapokeo ya mashabiki ni makubwa na HBO wenyew wapo tayar kutoa kitita ili mzigo uendelee wapige faida
 
Wewe unasema season 2 wakat mzigo unatabiriwa kwenda mpka season 5 maana mapokeo ya mashabiki ni makubwa na HBO wenyew wapo tayar kutoa kitita ili mzigo uendelee wapige faida
Kabisaaa, mapokeo makubwa hawawezi wakaachia pesa ipotee
 
nipeni series majina ya series kali kali na pilikapila kama hii Gangaland, nazikubali sana za namna hii
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…