Series (Special thread)

Ushoga upo kidogoooo saana na sehem ndogo saana
 
Hata kwenye 24 ulikuwemo sema ni kwa sababu nyakati hizo watu walikuwa hawajatilia maanani.
Ni kweli hata kwenye prison break ushoga upo ila ndo hivyo wakat huo walikua bado hawajaanza kudai haki zao
 
Wakuu hii blacklist nipeni link niidownload maana naona telegram s10ep07 mpaka saa hii bila bila
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…