Series (Special thread)

Series (Special thread)

IMG_4393.jpg

Hii series ya kinigeria kuna mtu kaiona
 
Wadau kuna series inaitwa The club ya kutoka MEXICO ipo Netflix ila nimehangaika kuitafuta Telegram na kwenye sites za torrent huko kote nimeikosa na najua kinachofanya nisiipate ni jina la kihispania wanalotumia huko...So kama una link nitumie
mkuu unapakua kwa kifurushi gani? Mana toka vianze kutoeleweka sija pakua hata episode moja.
Tupeane machimbo ya vifurushi kama yapo
 
mkuu unapakua kwa kifurushi gani? Mana toka vianze kutoeleweka sija pakua hata episode moja.
Tupeane machimbo ya vifurushi kama yapo
Hahahhhaa mkuu kuangalia movies ndio starehe yangu nikiwa sina kitu cha kufanya yaani ni sawasawa na mtu kila weekend au kila siku anapiga gambe au kufanya starehe yoyote...Sasa mimi sipigi gambe so hela yangu kwenye bando kushusha movies
 
Hahahhhaa mkuu kuangalia movies ndio starehe yangu nikiwa sina kitu cha kufanya yaani ni sawasawa na mtu kila weekend au kila siku anapiga gambe au kufanya starehe yoyote...Sasa mimi sipingi gambe so hela yangu kwenye bando kushusha movies
ni kweli mzee. Kuna movie kwenye library huku karibu yangu hawana

Mfano : 3% nk
 
hivi hii power mpya ni muendelezo wa ile ya kwanza au??
Power ile ile ila hizi zinaongelea mishe za wale character ambao tumewaona kwenye power mfano kuna POWER FORCE/Hii inaongela maisha ya tommy baada ya Ghost kufa, POWER 3 RAISING KAANAN/ hii inaongela maisha ya 50 Cent au KAANAN kabla hajaenda jela/POWER 2 hii inaongelea maisha ya Tariq baada ya Ghost kufa
 
ni kweli mzee. Kuna movie kwenye library huku karibu yangu hawana

Mfano : 3% nk
Duuh! Hizi bando zimeumiza watu wengi hata humu kumepooza tangu bando zipande na kwa season 1 au movie mnanunuaje? maana kuna mwana yupo Telegram ukitaka movie au series unamcheck then anakupangia siku uje na hela pamoja na USB flash, external, simu au laptop unachukua mzigo wako na wewe unampa hela.
 
Duuh! Hizi bando zimeumiza watu wengi hata humu kumepooza tangu bando zipande na kwa season 1 au movie mnanunuaje? maana kuna mwana yupo Telegram ukitaka movie au series unamcheck then anakupangia siku uje na hela pamoja na USB flash, external, simu au laptop unachukua mzigo wako na wewe unampa hela.
bei yao ni reasonable kabisa ni buku tu kila season, changamoto ni kuwa hawataki kudownload Series ambayo haitrend
 
  • Thanks
Reactions: PYD
bei yao ni reasonable kabisa ni buku tu kila season, changamoto ni kuwa hawataki kudownload Series ambayo haitrend
Hata huyo jamaa anatoza buku kwa season 1. Nenda Telegram mtafute jamaa anaitwa Mjuni wewe mpe hata link then mwambie akushushie season yoyote unayotaka atakufanyia ila yupo Dar
 
hivi hii power mpya ni muendelezo wa ile ya kwanza au??
Power wameamua kutoa sequels zikielezea wale characters wa Power yani power Book 2 inaongelea maisha ya Tariq baada ya Ghost kufa, Power Boo 3 inatupa story ya Canan Stark alivyokuwa kabla hajakutana na Ghost tambua kuwa Canan Stark ndiye aliyemfundisha Ghost elimu ya mtaa, na Power Book 4 inaongelea maisha ya Tommy Eagan baada ya kifo cha Ghost...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom