Series (Special thread)

Hahahha mimi kwangu ni nzuri tu na zinazungumzia hustle za mtaa kwenye issues za madawa huko UK na huyo mwana kwenye picture anaitwa Dushane na ana rafiki yake huyo ana maamuzi ya ajabu sana na roho mbaya anaitwa Sully
Haha uliposema hustle za mtaa pamoja na drugs, tayali umenishawishi...

Haujawahi ku recommend mzigo mbovu
 
N app gan na(w)eza tumia kwa ajili ya "kudaunlodia muv".......naombeni muongozo, 😊
 
Naitamani Greys Anatomy ila ina ina season nyingi mno... naikatia tamaa, wish nipate free WiFi. napenda medical series kiaina hii ingenifaa
 
Haha uliposema hustle za mtaa pamoja na drugs, tayali umenishawishi...

Haujawahi ku recommend mzigo mbovu
Huu mzigo kuna mtu huko nyuma sijui nani alikuwa akinishawishi niangalie hii series so nilishusha mzigo wa seasons 2 ambazo kila season 1 ina episodes 4 tu.

Ila iyo series ya top boy ukiangalia season 1 & 2 ina utofauti kidogo na season ya 3 maana izo seasons 2 za kwanza kuna dogo humo nae alinikosha alikuwa smart sana aliitwa Ra Nell ambaye alicheza seasons 2 tu na alitakiwa aendelee coz ya kisasi lakini Channel 4 waliipiga chini iyo series kwamba haitoendelea ila Drake akaipenda ikarudiwa na Netflix ndio season 3 ila ikabadlishwa jina na kuitwa Top boy: Summerhouse kwahiyo kwasabu ya rights iyo season 3 ni ya 1 kwa upande wa Netflix na season ya 4 ni ya pili ambayo imeshatoka kuanzia march 18 wengi walirudi ila uyo dogo Ra Nelly tu ndio hatokuwepo kwenye seasons hizi 2 mpya
 
Ok shukrani mzee, kwa hiyo ili uende nayo vyema ni lazima uanze kuzitazama hizo season 1&2 zenye episodes nne nne kisha ndio uje kwenye hizi zilizopo Netflix?
 
Naitamani Greys Anatomy ila ina ina season nyingi mno... naikatia tamaa, wish nipate free WiFi. napenda medical series kiaina hii ingenifaa
Katika medical series hii ni ya kwanza aisee.. ni ndefu kweli kweli, sema ni kali sana, utunzi wa gwiji yule yule Shonda Rhimes mwanamama anajua sana sana
 
Ok shukrani mzee, kwa hiyo ili uende nayo vyema ni lazima uanze kuzitazama hizo season 1&2 zenye episodes nne nne kisha ndio uje kwenye hizi zilizopo Netflix?
Ndio man coz kule ndio unaanza kuwajua Dushane, Sully na hao wengine ni akina nani
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…