Series (Special thread)

Kudownload movie ni mb ngapi?
 
Hyo inaonesha ni Kali hii series inaitwaje?
 
Hao wenzetu wako serious na kazi.

Sio kama huku kwetu.
 
Power....what a series!
 
Powa ila maudhui yake yakoje?

CIA wamepewa kazi ya kwenda kutuua na wao wakatumiwa watu kuwauwa. Sasa aliyetumwa kwenda kuua amegundua mmoja ya wanaotakiwa kuuuwawa ni mtoto wake. Sasa wakaungana kuanza kutafuta kwa nini wanataka kuuwawa na kuanza kuawawinda wanaowataka wafe. Imehusishwa na biashara ya real estate development na mafuta. Kwamba kuna matajiri huko US wanafund mission km hizo ili baadae waje kunufaika kipesa. It’s really a basic series siwezi icategorize kwenye group la series bora. Narudia tena uzuri wa series unategemea na mtazamaji, inaweza kuwa nzuri kwangu na isiwe nzuri kwa mwingine.
 
Umeongea point sana hapo chini ndugu yangu kitu ambacho nimekuwa nikiongea sana sema watu wagumu kuelewa.
Embu nikuulize swali kidogo huyo aliyetumwa kwenda kuwaua aligundua anayetaka kuwaua mmoja ni mtoto wake au aliambiwa walioenda kwenye mission mmoja ni mtoto wake sema ameuwawa ila alipofika ndio kagundua yupo hai?
 
Mtoto wake na kikundi chake walitumwa kazi wakaribu, jamaa akatafutwa ili aende kusahihisha makosa ila wakati huo aliambiwa mwanae amekufa kwenye car bombing, kufika Kule ndo anakutana na mwanae
 
Mtoto wake na kikundi chake walitumwa kazi wakaribu, jamaa akatafutwa ili aende kusahihisha makosa ila wakati huo aliambiwa mwanae amekufa kwenye car bombing, kufika Kule ndo anakutana na mwanae
Hapo ndio nilitaka kumsahihisha au kujua series niliongalia mimi ni tofauti na yake.
 

You are right...,Aliambiwa kafa na picha akaonyeshwa....
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…