Series (Special thread)

Series (Special thread)

Wkend ishapendeza mpaka hapo
Screenshot_20210611-184136_Netflix.jpg
 
Elezea kidogo juu ya hii Yellowstone mkuu
Ni familia moja USA,cow boys family,inamiriki biashara ya mifugo,Ranch,na biashara zingine kama real estate,ni story inayohusu mapambano ya kibiashara Kati ya baba(John Dutton) wa hii familia na wapinzani zake kwenye biashara,
Ni Crime,Drama,history series.
 
Ni familia moja USA,cow boys family,inamiriki biashara ya mifugo,Ranch,na biashara zingine kama real estate,ni story inayohusu mapambano ya kibiashara Kati ya baba(John Dutton) wa hii familia na wapinzani zake kwenye biashara,
Ni Crime,Drama,history series.
Shukrani mkuu,ntaitafuta
 
Niko naangalia Max Anger hapa ya Kiswidi kama mtu aliipenda Berlin Station,Undercover no Basi hii sio ya kukosa aisee

Kinachonikera ni hizi muvi zao kutofanyiwa dubbing ila wanaweka subtitles hardcoded tu

Napanda muvi ya lugha tofauti na English wafanye dubbing kama walivyofanya kwenye Lupin ndo inanoga,subtitle zitatufanya tuwe na makengeza Bure . Jicho moja picha jingine maandishi ila kibishi tu fresh

Hahaha hadi ww subtitles zinakuzinguaga binafsi naona shida kichizi nataka nisikilize conversation sio nisome maana arguments za kutoka mdomon directly zina unyama wake
 
Mzigo wa The Ghost book III inakuja July 18 ambayo part hii inamhusu maisha ya KANAN (50 Cent) kuanzia utotoni akisurvive kwenye mitaa ya Jamaica

Screenshot_20210614-094952.png
 
Baaada ya Kanan atafuata Ghost(St Patrick) maana Kaanan ndo alimfundisha Ghost maujanja ya mtaani
Hapana mzee itakuwa hivi baada ya KANAN itafuata Power book 4: Force ambayo itahusu maisha ya Tommy Egan anasurvive vipi huko Chicago peke yake baada ya kukimbia New york then itakuja Power book 5:Influence ambayo itamuhusu yule councilman Rashad Tate.
Haya ni mabadiliko maana tulijua book 4 itamuhusu maisha ya Ghost na Tommy Egan na book 5 itakuwa maisha ya Tommy Egan huko Chicago sasa sisajua labda iyo ya KANAN itawahusu wote maana hizi zishakuwa series ambazo zitakuwa na seasons hadi 3 kwa kila book maana book 1 itatoka season 2 so ngoja tucheck
 
CYPHER series

Hii series iko overrated hum ndani, ni series ya kawaida sana ndio maana hata rate yake ndogo,

Nadhani ni kwasababu ya movie ama series nyingi nilizowahi kuona ni za level ya juu Sana, ndio maana series Kama cypher naiona iko level ya chini, na wakijatahidi sana watatoa S2 then wata cancel.

Idea ilikuwa nzuri kiasi, Ila waigizaji wamefeli bora kidogo yule dem FBI, Kama movie inatakiwa kuwa ya ki mafia Basi tuone umafia kweli,

kama movie itatakiwa kuonesha ujasusi basi tuuone kweli, ikiwa mission basi tuone harakat za kweli na Kama ikiwa na matumizi ya akili inabidi tuone.

Nimekuja kugundua kwamba ukiangalia movie basi usifanye comparison na movie nyingine hasa Kama umechek zile top rated movie au series za muda wote, maana hata lupin nikifananisha na movie za aina hiyo naiona iko level za chini.

#Hayo ni maoni yangu... Ahsanteni.

Pia napenda wadau wanao tupia list zao humu,

Mwisho kabisa, TELEGRAM Ina kizi mahitaji yote ni namna tu yakuitumia, hakuna series au movie utakosa kule,
 
CYPHER series

Hii series iko overrated hum ndani, ni series ya kawaida sana ndio maana hata rate yake ndogo,

Nadhani ni kwasababu ya movie ama series nyingi nilizowahi kuona ni za level ya juu Sana, ndio maana series Kama cypher naiona iko level ya chini, na wakijatahidi sana watatoa S2 then wata cancel.

Idea ilikuwa nzuri kiasi, Ila waigizaji wamefeli bora kidogo yule dem FBI, Kama movie inatakiwa kuwa ya ki mafia Basi tuone umafia kweli,

kama movie itatakiwa kuonesha ujasusi basi tuuone kweli, ikiwa mission basi tuone harakat za kweli na Kama ikiwa na matumizi ya akili inabidi tuone.

Nimekuja kugundua kwamba ukiangalia movie basi usifanye comparison na movie nyingine hasa Kama umechek zile top rated movie au series za muda wote, maana hata lupin nikifananisha na movie za aina hiyo naiona iko level za chini.

#Hayo ni maoni yangu... Ahsanteni.

Pia napenda wadau wanao tupia list zao humu,

Mwisho kabisa, TELEGRAM Ina kizi mahitaji yote ni namna tu yakuitumia, hakuna series au movie utakosa kule,
Nimependa hii sentensi "UKIANGALIA MOVIE BASI USIFANYE COMPARISON NA MOVIE NYINGINE"
 
CYPHER series

Hii series iko overrated hum ndani, ni series ya kawaida sana ndio maana hata rate yake ndogo,

Nadhani ni kwasababu ya movie ama series nyingi nilizowahi kuona ni za level ya juu Sana, ndio maana series Kama cypher naiona iko level ya chini, na wakijatahidi sana watatoa S2 then wata cancel.

Idea ilikuwa nzuri kiasi, Ila waigizaji wamefeli bora kidogo yule dem FBI, Kama movie inatakiwa kuwa ya ki mafia Basi tuone umafia kweli,

kama movie itatakiwa kuonesha ujasusi basi tuuone kweli, ikiwa mission basi tuone harakat za kweli na Kama ikiwa na matumizi ya akili inabidi tuone.

Nimekuja kugundua kwamba ukiangalia movie basi usifanye comparison na movie nyingine hasa Kama umechek zile top rated movie au series za muda wote, maana hata lupin nikifananisha na movie za aina hiyo naiona iko level za chini.

#Hayo ni maoni yangu... Ahsanteni.

Pia napenda wadau wanao tupia list zao humu,

Mwisho kabisa, TELEGRAM Ina kizi mahitaji yote ni namna tu yakuitumia, hakuna series au movie utakosa kule,
Unachopitia wewe, ndio ninachopitia mimi. Huwa ninacheki TV series kali sana "classic", kiasi kwamba siku hizi napata tabu ya kupata TV series za kutazama. Hiyo Lupin nimecheki season ya kwanza kwa "shida" sana (ni TV show ya kawaida sana), kiasi kwamba siwezi kuiangalia season ya pili. Hii Lupin ndio imefanya nianze kupitia reviews za IMDB kabla sijaanza kuifuatilia TV Series yoyote, nakushauri na wewe kufanya hivyo ili kukwepa hii "kero".

Nimeshacheki series kali/konki karibia zote 😂😂😂, nahisi nimezimaliza mzee (natania), nitajie series kali ambazo umeshazicheki ili nijaribu kuzifanyia tathmini, labda naweza kupata kitu kikali cha kuangalia.
 
Unachopitia wewe, ndio ninachopitia mimi. Huwa ninacheki TV series kali sana "classic", kiasi kwamba siku hizi napata tabu ya kupata TV series za kutazama. Hiyo Lupin nimecheki season ya kwanza kwa "shida" sana (ni TV show ya kawaida sana), kiasi kwamba siwezi kuiangalia season ya pili. Hii Lupin ndio imefanya nianze kupitia reviews za IMDB kabla sijaanza kuifuatilia TV Series yoyote, nakushauri na wewe kufanya hivyo ili kukwepa hii "kero".

Nimeshacheki series kali/konki karibia zote 😂😂😂, nahisi nimezimaliza mzee (natania), nitajie series kali ambazo umeshazicheki ili nijaribu kuzifanyia tathmini, labda naweza kupata kitu kikali cha kuangalia.
Reviews za IMDB sizifuatilii mimi nafikiri ni jinsi mtu anapenda nini maana hata wewe ukiweka list za series zako kali watu wataziponda pia.So tunarudi palepale kuna wanaocompare series, wanaongalia story na wengine wanataka vitu fulani viwepo kama havipo utasikia series imepoa au ya kawaida
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom