Jorge WIP
JF-Expert Member
- Jul 12, 2018
- 3,567
- 5,359
ulivyo google ukaja na screenshot ya reddit yalikua ni maoni ya paka?
Halafu kwa hoja gani Director hawezi kua writer?
unamjua Quentin Tarantino ni nani?
Ni mnyama
#Inglorious Bastardsulivyo google ukaja na screenshot ya reddit yalikua ni maoni ya paka?
Halafu kwa hoja gani Director hawezi kua writer?
unamjua Quentin Tarantino ni nani?
#Inglorious BastardsWikipedia ndugu maana wewe mweupe kichwani 😂😂😂Hapo unaniuliza mimi au wikipedia?
hapa hao watu wako wapi?Embu soma vizuri wapi nimeponda Lupin na 24 mzee au nimekuelezea Kuna errors pia? Na iyo lupin nimeiponda mimi au nimekupa mfano wa watu jinsi wanavyoiongelea?
Una uwezo wa kusoma lakini huelewi
Utaishia hapa yaani mzee wa matango poriiii 🤣🤣🤣🤣🤣
Utakua mweupe mwenzangu maana hiyo ni post yangu na umeninukuu kimakosaWikipedia ndugu maana wewe mweupe kichwani 😂😂😂
Kumbe statistics ulizo screenshot wikipedia kuhusu ubora wa homeland nazo ni matango pori kwasababu ni source moja na nilikotoa hiyo screenshotUtaishia hapa yaani mzee wa matango poriiii 🤣🤣🤣🤣🤣
Yaaani hata huelewi ila unajua kusoma embu elewa basi hapo kuanzia mistari wa kwanza alafu elezea umeelewa nini?hapa hao watu wako wapi?
View attachment 1797212
Si kuna link pale uwe una click izo tuzo then unasoma.....Video unazo hutaki kuonyesha alafu unaelezea uongo wewe mzima kweli so uscreenshot iko kipande tuone?Kumbe statistics ulizo screenshot wikipedia kuhusu ubora wa homeland nazo ni matango pori kwasababu ni source moja na nilikotoa hiyo screenshot
Nimekunukuu nini kimakosa kwamba Carrie kagongwa na Peter Quinn ni makosa? 😆😆😆Utakua mweupe mwenzangu maana hiyo ni post yangu na umeninukuu kimakosa
Hao watu ambao walikua wanaiponda 24 hapo umewataja wapi?Yaaani hata huelewi ila unajua kusoma embu elewa basi hapo kuanzia mistari wa kwanza alafu elezea umeelewa nini?
Kumbe una matatizo makubwa nilikuwa sijui 😂😂😂
Sites ambazo umedai za matango pori tangu lini links zake zikaweza kuku direct kwenye jibu sahihi?Si kuna link pale uwe una click izo tuzo then unasoma.....Video unazo hutaki kuonyesha alafu unaelezea uongo wewe mzima kweli so uscreenshot iko kipande tuone?
Haya najua hapo umeingia Chaka Kuna swali kingine nijibu umesema carrie alikuwa anatembea na mates wa CIA haya onyesha mates gani hao?
Inamaana hata ulikua huji kua umeninukuu mimi mpaka nilipokustua?Nimekunukuu nini kimakosa kwamba Carrie kagongwa na Peter Quinn ni makosa? 😆😆😆
Hakuna raha kama kumuona mtu mzima kaumbuka alafu analeta ubishi
Haya nenda na wewe kascreenshot reddit uje na hata screenshot ikionyesha Kuna clip wamefanya mapenzi -umeshindwaulivyo google ukaja na screenshot ya reddit yalikua ni maoni ya paka?
Halafu kwa hoja gani Director hawezi kua writer?
unamjua Quentin Tarantino ni nani?
Wewe hamna kitu embu angalia jinsi nilivyoelezea lupin embu soma uelewe sio unakurupukahapa hao watu wako wapi?
View attachment 1797212
Kwanza umejiona mjinga kukataa maoni ya watu wakati awali ulikiri kua yale ni maoni ya fans wa homeland?Haya nenda na wewe kascreenshot reddit uje na hata screenshot ikionyesha Kuna clip wamefanya mapenzi -umeshindwa
Nenda kwenye folders zako za homeland hapo weka screenshot - -umeshindwa
So nini unaweza basi kuprove mimi wrong na nimekuruhusu -umeshindwa.
Kwahiyo director wa homeland ndio writer? Maana tunazubgumzia homeland hapa-----Hapa huwezi kujibu hata uzaliwe mara ya pili 🤣🤣🤣🤣
Hivi huoni aibu mzee yaani uko shallow kuelewa alafu bado unabishana?Inamaana hata ulikua huji kua umeninukuu mimi mpaka nilipokustua?
Kama ndio hivyo basi we mwenzangu una hali mbaya kuliko mimi
kwa hiyo una switch ionekane ni lupin wakati na 24 umeisema?umeiWewe hamna kitu embu angalia jinsi nilivyoelezea lupin embu soma uelewe sio unakurupuka
Nimekupa chance embu screenshot ya walipinga kwamba Peter Quinn kamla Carrie Mathison? Weka hapa watu waone mimi muongo maana nimeleta screenshot ya uongo maana huwezi na hakuna kitu kama icho ilo mimi naishusha iyo episode sasa hivi nionyeshe umma humu kwamba wewe umeangalia na upo sahihiKwanza umejiona mjinga kukataa maoni ya watu wakati awali ulikiri kua yale ni maoni ya fans wa homeland?
Haya nakurudisha huko huko reddit katika hayo maoni kuna mtu aliyeweka screenshot kua ni ushahidi au ni mitazamo yao tu ambayo wapo hadi waliokua wanapinga? kawaambie wale wanaopinga wakupe screenshot
Kusoma kwa ufahamu nayo pia ni shida? au hujalielewa swali
nimekuuliza "kwa hoja gani Director hawezi kua writer?"
unamjua Quentin Tarantino ni nani?
Tumia hoja usitumie support ya wingi wa watu, mi nachinja peke yangu bila mshika pembe na sina wengeHivi huoni aibu mzee yaani uko shallow kuelewa alafu bado unabishana?
Embu ngoja niachane na wewe maana hata mtu kukutea humu hakuna wote waliona wanakubaliana na wewe ila bado unakomaa daaah! 😀😀😀
Wapi nimeandika watu kwenye 24? Na leta screenshot niliomention kuhusu Lupin alafu nimesema ni mimi?kwa hiyo una switch ionekane ni lupin wakati na 24 umeisema?
Mi mpaka unioneshe hao watu wako wapi ndio nitakubali kua hata hiyo lupin kunawatu ulikua unawazungumzia waliosema vile