Baharia mweuc
JF-Expert Member
- Sep 13, 2019
- 654
- 769
Yah! Mzee hata chakula kitamu kinaisha mapema sijui why 😃😃Hii series ni kali sana aisee, nmeianza jana baada ya kufuturu,nmeenda nayo hadi muda wa daku...najiuliza sijui kwanini waliweka episodes chache vile dah...ujasusi wa humu ndani sio wa mchezo
Ukizungumzia kuhusu mossad basi Tehran ni nzuri na episodes zipo chachehizi project kwa sasa hazinifai kwa sababu ya ukubwa wa files zake, kila moja inabeba wastani wa gb 4.5 (halotel wamekata moto), ngoja imalize ramadhani nizifanyie assignment ya kibabe (inshaalllah)
Nilitegemea nitazikuta telegram ili nishushe episode moja moja bahati mbaya sana sijafanikiwa kupata channel zake.
nimeangalia deep state season 1(season 2 naiweka pending), imenifanya niione dunia kama ni sehemu moja ya kipumbavu sana kuishi. sidhani kama hii dhana ya ugaidi,upandikizaji wa magonjwa na wizi wa rasilimali dhidi ya mataifa madogo ni jambo la kupita, haya ni mapambano ambayo hatopatika mshindi kwa sababu waanzilishi wa haya mapambano yanawafaidisha.
"anayetangaza mkakati wa kulinda amani ndiye kinara wa kuvunja amani"============
naomba list nyengine ya series zenye mdundo wa kibabe,biashara za madawa ya kulevya, ujasusi (CIA, FBI, MOSSAD, M16), vita vya kutengeneza (ugaidi) ukiondoa,
peaky blinders gangs of london jack ryan the blacklist cypher berlin station the bureau messiah
ahsante sana hiyo nitaitafuta(nimeshaiona telegram), kuna series inaitwa mossad 101, je umebahatika kuiangalia?Ukizungumzia kuhusu Tehran ni nzuri na episodes zipo chache
Hapana ila iyo Tehran ipo chini ya apple tv so story ipo makini na nyingine inaitwa Seeahsante sana hiyo nitaitafuta(nimeshaiona telegram), kuna series inaitwa mossad 101, je umebahatika kuiangalia?
nimekusudia kupatikana kwa channel zake huko telegram na si kwamba wao ndio wenye haki miliki ya hiyo projectHapana ila iyo Tehran ipo chini ya apple tv so story ipo makini na nyingine inaitwa See
Najua ulichomaanisha ila mimi nimekuhakikishia kuhusu ubora wa series zinazotolewa na Apple TV maana hata mimi nimeishusha telegram ila kuwa makini kuna wengine hazina subtitle za englishnimekusudia kupatikana kwa channel zake huko telegram na si kwamba wao ndio wenye haki miliki ya hiyo project
Hahaha dah, ilinikata sana stimu, bonge moja show, hope itarudi tena season 2....Apple naona nao wanakuja na vitu vizuri, wamejipanga sana hawa jamaaYah! Mzee hata chakula kitamu kinaisha mapema sijui why
Yeah wapo vizuri sana alafu mzee weekend hii nilikuwa naicheck Suburra season 1 kuhusu scenes za kusex sio nyingi kiivo kama Game of thrones, Banshee, Black sails, True blood, Bitten na Spartacus hizo ndio series zina scenes nyingi za kusex na wala sex za mashoga sijaona mpaka sasa angalau shoga lipo na ni series nzuri kwenye mambo ya wauza unga, wafanyabiashara, priests wa rome kugombania ardhiHahaha dah, ilinikata sana stimu, bonge moja show, hope itarudi tena season 2....Apple naona nao wanakuja na vitu vizuri, wamejipanga sana hawa jamaa
Nimeona trailer lake ni nzuri nitaitafuta hii wakishamaliza kutoa episodes zote
Poa poa mzee, ngoja niishushe niitizame sasaYeah wapo vizuri sana alafu mzee weekend hii nilikuwa naicheck Suburra season 1 kuhusu scenes za kusex sio nyingi kiivo kama Game of thrones, Banshee, Black sails, True blood, Bitten na Spartacus hizo ndio series zina scenes nyingi za kusex na wala sex za mashoga sijaona mpaka sasa angalau shoga lipo na ni series nzuri kwenye mambo ya wauza unga, wafanyabiashara, priests wa rome kugombania ardhi
Mossad 101 inahusu namna Mossad wanavyopata agents wao,training kiujumla.season ya kwanza kama imepoa hivi ila season ya pili inachanganya vizuri baada ya wale trainees kupewa real mission na baadhi ya high ranking officers kupiga pesa,kushirikiana na makundi kama ISIS bila ya waliopo chini kujua.ahsante sana hiyo nitaitafuta(nimeshaiona telegram), kuna series inaitwa mossad 101, je umebahatika kuiangalia?
#Tehran seriesHii series ni kali sana aisee, nmeianza jana baada ya kufuturu,nmeenda nayo hadi muda wa daku...najiuliza sijui kwanini waliweka episodes chache vile dah...ujasusi wa humu ndani sio wa mchezo
Ni hatari mzee#mcmafia ni cheche🙌🙌
Warussia kumbe ni warembo
Kuna nyuma huko niliattach link ya telegram yenye Tehran ikiwa na subs za english kasoro ya 3 tu ambazo nilizipata kwenye sites ya subscene#Tehran series
naomba uniwekee folder lenye subtitle ya hii series kama unalo, hii ya kwangu ipo nyuma kwa takribani dakika moja.
full mizunguo.
=============
ok ngoja nisearch maandikoKuna nyuma huko niliattach link ya telegram yenye Tehran ikiwa na subs za english kasoro ya 3 tu ambazo nilizipata kwenye sites ya subscene
Mimi nilitumia opensubtitles, nilikuwa nadownload subtitle kwa episode moja moja#Tehran series
naomba uniwekee folder lenye subtitle ya hii series kama unalo, hii ya kwangu ipo nyuma kwa takribani dakika moja.
full mizunguo.
=============
ok nitaijaribuMimi nilitumia opensubtitles, nilikuwa nadownload subtitle kwa episode moja moja
Mfano wa link hiyo hapo chini, hiyo ni subtitle ya episode 1
Emergency Landing in Tehran subtitles English
Emergency Landing in Tehran subtitles - Tehran.S01E01.Emergency.Landing.in.Tehran.1080p.ATVP.WEB-DL.DDP5.1.H264-NTb - Englishwww.opensubtitles.com