Series (Special thread)

Huu mzigo unahusu nini mkuu. Nishushe
 
Wakuu huu mzigo niliangalia miaka ya nyuma episodes kama 3 hivi ila wiki iliyopita nikashusha wote season 1 na kumalizia season zote 8 aisee wacha watu kwenye social media wapige kelele kuhusu season 2 inatoka lini maana si mchezo humo kwenye issue za umafia alafu unakutana na warusi ndani hatari sana

 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…