TIASSA
JF-Expert Member
- Jun 17, 2014
- 3,103
- 3,950
Baada ya le patron au Don pablo pia waliibuka watabe wengine Kama kina cal cartel, hii siries imebase kwenye true story,Pablo si ndio nyota kwenye hii series inakuaje anakufa mapema hivyo halafu movie iendelee?
Netflix wanajaribu kusimulia biashara zaunga Kati ya amerika ya kusini kwenda marekani na Jinsi DEA walivyo kuwa wakidili nao

