Series (Special thread)

Kaka unazingua iyo kitu ni yamoto mie nimeirudia mara 3 ya kwanza 2015 ,2016 ,2020 hii ndo season kalii ya muda wote tokea dunia iumbwe
Mzee pengine labda huko mbeleni itachangnya ila kwa hapa nilipofikia naiyona yakawada sana tofauti na inavyo kuzwa.

Kwa nilipoifikia hapa bado sijaona dalili za kumpiku 24
 
Mzee pengine labda huko mbeleni itachangnya ila kwa hapa nilipofikia naiyona yakawada sana tofauti na inavyo kuzwa.

Kwa nilipoifikia hapa bado sijaona dalili za kumpiku 24
Siku zote heavy machine inaanza na speed ndogo sana lkn kadri inavyo sogea ndio speed huchanganya zaidi so keep going, lkn unaonekana ni MTU wa kupenda matukio , best series ever
 
Siku zote heavy machine inaanza na speed ndogo sana lkn kadri inavyo sogea ndio speed huchanganya zaidi so keep going, lkn unaonekana ni MTU wa kupenda matukio , best series ever
Ngoja niisikilizie niko season ya 2 episode ya 5 ila bado zile hamsha hamsha hazipo labda huko mbeleni
 
Aliyesuggest niangalie berlin station nishaimaliza season 1 haiko vibaya ni nzuri ila hii the wire nimeifuta na gangs of london nimeichungulia nimeona mtu akichomwa moto inaonekana ni nzuri
 
Hii breaking bad nipo season ya kwanza episode ya 7 lakini naiona kama imepoa vile

Season 1 iko hivyo, mimi niliwah angalia episode 3 nikaacha, baada ya miezi mitatu nikairudia tena, nilivyofika season 2 nikajiuliza nilikuwa wapi siku zote?

Mzee Breaking Bad ni kali sana, hutajutia muda wako!
 
Season 1 iko hivyo, mimi niliwah angalia episode 3 nikaacha, baada ya miezi mitatu nikairudia tena, nilivyofika season 2 nikajiuliza nilikuwa wapi siku zote?

Mzee Breaking Bad ni kali sana, hutajutia muda wako!
Nilishaanza kukata tamaa nianze kuangalia NARCOS ila wengi mmeni inspaya ngoja niimalizie
 
Nilishaanza kukata tamaa nianze kuangalia NARCOS ila wengi mmeni inspaya ngoja niimalizie

Fanya hivyo, mi mwenyewe narcos ilinishinda mwanzoni tu ngoja niianze tena, then niangalie na narcos mexico
 
Narcos Mexico season two wamezngua kinomaaa bora uchek season one upite mbele....
yan season two Rafa hayupo hata hakuna utamu.....
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…