Series (Special thread)

Mkuu naomba download link ya Gharabeeb Soud.Natanguliza shukrani.
 

Strike Back waneniuzi kuwaleta wale character wapya


Tyrant ndio sijui imefungiwa hawezi chezwa tena maana ni muda mrefu sana kimya alafu imeishia kienyeji sana.
 
Strike Back waneniuzi kuwaleta wale character wapya


Tyrant ndio sijui imefungiwa hawezi chezwa tena maana ni muda mrefu sana kimya alafu imeishia kienyeji sana.
Mimi wangeniuzi hao watu wapya wangekuwa hawajui kuigiza Ila wako vzri Sana kwa upande wangu so mzigo ni ule ule tu action mwanzo mwisho.

Tyrant haitoendelea na s03 ilikua ya mwisho kwao na wengi hawakuipenda cz yule main character alikua mpole Sana, havutii na Hana makeke alishindwa hata na kaka take mule Ila tuache yote series ambayo hadi mim nilishiriki kwenye petition ni Revolution aisee hii ilikua binge la series yenye story adimu na action nzuri zilitoka seasons 3 zote kali
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…