Series (Special thread)

1. Tyrant
2. Prison break
3. If loving you is wrong
4. Power
5. Breaking Bad
6. 24
7. Game of throne
Dah! Kuna mwanangu mmoja alikua hapendi kuangalia series kabisa ila nilipomshawishi aangalie Tyrant aisee alianza kuipenda ila ilipositishwa s03 alimind kinoma sana utafikiri alikua analipwa kila akiangalia.
 
Mkuu season gani nyingine kali ya kijasusi ambayo unaifahamu nijaribu kui download leo

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeicheck Homeland seasons zote kasoro inayoendelea maana mi nasubiri season nzima iishe ndo nishushe mzigo wote.

Kuna series ya The blacklist wew download season 1 episode 1 uone unyama wa Raymond Reddington kabla ya kushusha mizigo mingine.
FBI inamtafuta the most wanted Raymond Reddington sasa jamaa anaamua kujikamatisha hadi FBI wanashangaa inakuwaje uyu mtu kajileta mwenyewe sasa hapo jamaa anaingia nao deal kwamba atawatajia blacklisters wote wanaoisumbua USA ila anataka katika iyo team awepo mdada mmoja ambaye ni mwanae ila uyo sister hajui chochote ila cha kushangaza inakuja kugundulika huyu si Raymond Reddington je huyu mtu ni nani? Na huyo dada mama yake alikua jasusi wa urusi ambaye alikua mpenzi wa Raymond Reddington wakati alipotumiwa afanye mission USA inasemekana amekufa ila kumbe yupo hai na je yupo wapi? Na huyo dada ambaye ni mtoto wa Raymond Reddington ana mume wake ila uyo mumewe ni hitman na katumwa ili amchunguze uyo dada je, katumwa na nani? Kuna jasusi mwingine yupo Russia ambaye anabeef na Raymond nae anasema uyo dada si mtoto wa Raymond bali ni wake je uyo sister ni mtoto wa Raymond au jasusi la kirusi?
Raymond ni mtu mwenye connections zote ndani ya USA na nje so ana mtu wa kufuta ushahidi akifanya tukio, ana accountant, ana bodyguard huyo hacheck kutoka Africa anaitwa Dembe So ni bonge la series ilo man na humo kuna mabeef kati CIA na FBI humo ni kama yote.
 
Angalia na Top Boy mkuu..ina season 3 hadi sasa
 
Shukran mkuu.. Ngoja leo nizipakua za kusukumia weekend
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naombeni site ya ku download series wakuu

Nimejaribu kutumia Todaytvseries, niki click sehemu iliyoandikwa Download vinakuja vitu vingine (sijui ndio ads?)

Nipeni maujanja ya kudownload, hii Corona bila series maisha yatakuwa magumu sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani nakuwa kama nimeingia kwenye website nyingine (University Best America Edu)
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duuh,hiyo "The americans" nimeangalia episode 5 naona imepoa sana!Naona kama haina story ya kueleweka!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…