Series (Special thread)

Series (Special thread)

Taatizo lake ni parts ni nyingi mara north korea mara russia mara china mara france mara ghana mpaka mtazamaji anavurugwa

Au labda kuna muungaaniko wa matukio baaadae
Mtazamaji au wewe ndo unavurugwa???Hii hoja ya kujinga sanaaa.
 
Lakini wakuu hizi series unapoangalia unatakiwa uanze mwanzoni wengine wanarukia kati kuona kama inanoga mwishoni mnaponda.

Kuna baadhi ya serious zinaanza kama flashback sasa we usipokuwa makini kuanzia mwanzo utaona mbovu kumbe hujaelewa content.
 
Kuna hii kitu inaitwa MONEY HEIST nayo ni must watch kwa ambao bado,anyone wuld love it
 
  • Thanks
Reactions: dtj
Lost ipi,? Kama ni ile isiyoelewaka bas tambua sijawah iangalia zaid ya kusikia tu humu... Nenda na Hanna umuone Hanna uje hapa kunipa mkono kwansababu ya hanna ha ha ha
Mkuu hata ww uliisifia lost.. kumbe ya kawaida kuliko kawaida
 
Mkuu ww sio wa kuacha kuangalia Breaking Bad! Season 1 itakuchosha, ila kuanzia last 2 episodes na season zinazofuata believe me hutaiachia kamwe!

It is the best real!
Ndo najitahid ila bahat nzur season one haina ep nying
 
Naomba link ya power
Anzia hapa season 1 utaendelea hadi season 6.
 
Anza na power hutojutia
Na sasa ilikuwa iishe ila wameamua kuindeleza season 7 maana walikuwa waishie who shot Ghost ila funs wakasema sence when ghost afe kiboya sasa anarudi kuwashughulikia wote waliomshuuti.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom