Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 15,807
- 28,471
ya kiboya sio kaliWakuu nimeangalia Hii Mr robot nimebakiza episode moja Nimalize season ya kwanza lakini nimepata wakati mgumu sana kuielewa wadau walioangalia hadi season 3 nipeni uzoefu vipi iko fresh huko mbele au ndio hivyo hivyo kama season 1.
mie tv show ambazo star ni mwanamke,huwa zinaniboa sijui kwa nini?
mie tv show ambazo star ni mwanamke,huwa zinaniboa sijui kwa nini?
niliangalia kwa kuwa sikuwa na series nyingine ya kuangaliaVipi kuhusu NIKITA??
Telegram ipo furu s1&2 in english bila subtittleWapi naweza kuipata (link) ya money heist yenye audio track ya kiingereza
I hate subtitles
Kali sana hutojutia ni action mwanzo mwishoVip kuhusu STRIKE BACK nasikia iko poa alie iona aseme
ushanikata maini, na mm star akiwa demu basi sijui ni nini
Hii ni app gan mkuuView attachment 1134469
KWA SASA SINA SERIES NAYOIFUATILIA
NASUBIRI MONEY HEIST SEASON 3
Next month
Hii kitu ni Hatari Sanaa
Hii ni app gan mkuu