Wakuu nimeangalia Hii Mr robot nimebakiza episode moja Nimalize season ya kwanza lakini nimepata wakati mgumu sana kuielewa wadau walioangalia hadi season 3 nipeni uzoefu vipi iko fresh huko mbele au ndio hivyo hivyo kama season 1.
Aiseeh kama kuna mtu hajaangalia LOST ..ni series flani ya zamani kama mwaka 2004 aitafute...ni kali sana nilikua naichukulia poa..lkn baada ya kuiona hadi season ya 5 imeingia kwenye top 10 zangu za series kali
NETFLIX MKUU
ukiingia huko jiandae kulipa 27k kila mwisho ww mwezi
Bt the good thing ni kwamba mnaweza ku join hadi users watano..
Kama wato mpo karibu mnachanga 5k each
Unajikuta mwisho wa mwezi unalipa 5k
Kuliko 27 peke ako
Done