Abu_yazid
JF-Expert Member
- Mar 28, 2014
- 3,436
- 4,241
Niliimaliza zile siku mbili tu baada ya kutokaTom Clancy's Jack Ryan
Niliimaliza zile siku mbili tu baada ya kutokaTom Clancy's Jack Ryan
Iko vizuriTom Clancy's Jack Ryan
Niliimaliza zile siku mbili tu baada ya kutoka
Mdau hebu tupia na index ya bodygurd. Nimejaribu nimekwama.
Mkuu index bado haijawekwa ila unaweza pitia humuMdau hebu tupia na index ya bodygurd. Nimejaribu nimekwama.
Si za kukosa View attachment 860048
Kiongozi nakuomba usijilimit kwa kuamua kua fun wa aina fulani tu ya tv shows. Unajima kujua mengi. Ukiskia watu wanasifia series kua ni kali take yur time kuangaliaMkuu kila mtu Ana aina yake ya Show anazozikubali na haimaanishi asipopenda unachopenda kwamba sio mtu wa Filamu. Ndio maana kuna watu wanapenda show za Comedy, Crime, Sci-Fi, nk..
Category hizo zimewekwa kwa lengo hilo.
In short mimi sipend show zenye technology sana au zile zenye maudhui ya kale mfano GOT, Vikings nk kwangu ni .
Show ninazopenda mimi ni mfano 24, Homeland, Banshee, Money heist, The Last Ship, Safe, Fargo, Power, Queen of the South, Shooter the list goes on yani..
So you ukija kwenye series yenye mlengo huo, njoo na swali afu utajua mimi ni mtu wa Show ama nini
Sent using Jamii Forums mobile app
Ya mwaka gan hiiKitu kipya Jacky Ryan full ugaidi na mambo ya intelijensia..S01 complete
Season2 auon queue
Dark -
Again, small time mystery, A cold and isolated German town where kids suddenly disappear, a local cop, a sad boy…Just watch it, it’s amazing.
Hii kitu nmeiona muvi yake.. Cjajua kama series ake imetokaYa mwaka gan hii
Naomba link mkuu
Kwa mchakamchaka...24 bado naipa high ranking sana. Jack Ryan nimeipenda pia....ingawa naona ina emotion moments nyingi...na few hard decisions. Katika scene nilizozipenda hadi sasa ni pale wanamchukua yule mama na watoto wake beach...it was so interesting jinsi yule mdau mwenye danguro jinsi alivohandle ile situation.....it was so interesting....!
Tv time mkuuHii ni App gani mkuu?
Sawa kabisa 24 jack mawajina wanafanya vitu vizuriKwa mchakamchaka...24 bado naipa high ranking sana. Jack Ryan nimeipenda pia....ingawa naona ina emotion moments nyingi...na few hard decisions. Katika scene nilizozipenda hadi sasa ni pale wanamchukua yule mama na watoto wake beach...it was so interesting jinsi yule mdau mwenye danguro jinsi alivohandle ile situation.....it was so interesting....!
Mwaka huuYa mwaka gan hii
E07 nimefurahi sana....jinsi alivoweponize wale mateka....! Nilishangaa sana...waliwaokoa very easy! Kumbe game on!!Sawa kabisa 24 jack mawajina wanafanya vitu vizuri