Series (Special thread)

Kwa mwaka 2018 series kali ya masuala ya intelejensia ya kukusanya taarifa, kuzichanganua na kuzitumia ili kulinda usalama wa nchi na raia wake series iendayo kwa jina la : Tom Clancy's Jack Ryan season 1 : imetia fora.
 
Si za kukosa
Screenshot_20180907-224210.jpg
 
Mkuu kila mtu Ana aina yake ya Show anazozikubali na haimaanishi asipopenda unachopenda kwamba sio mtu wa Filamu. Ndio maana kuna watu wanapenda show za Comedy, Crime, Sci-Fi, nk..

Category hizo zimewekwa kwa lengo hilo.
In short mimi sipend show zenye technology sana au zile zenye maudhui ya kale mfano GOT, Vikings nk kwangu ni .


Show ninazopenda mimi ni mfano 24, Homeland, Banshee, Money heist, The Last Ship, Safe, Fargo, Power, Queen of the South, Shooter the list goes on yani..

So you ukija kwenye series yenye mlengo huo, njoo na swali afu utajua mimi ni mtu wa Show ama nini

Sent using Jamii Forums mobile app
Kiongozi nakuomba usijilimit kwa kuamua kua fun wa aina fulani tu ya tv shows. Unajima kujua mengi. Ukiskia watu wanasifia series kua ni kali take yur time kuangalia
1. Trailer lake
2. Comment za watu ie youtube
3. Ratings yake ie imdb au rotten tomato
Niamini mimi ukifanya hiv utajua show gani ya kuangalia na ipi ya kupotezea bila kujali we ni mpenz wa genre gani.
 
Kwa mchakamchaka...24 bado naipa high ranking sana. Jack Ryan nimeipenda pia....ingawa naona ina emotion moments nyingi...na few hard decisions. Katika scene nilizozipenda hadi sasa ni pale wanamchukua yule mama na watoto wake beach...it was so interesting jinsi yule mdau mwenye danguro jinsi alivohandle ile situation.....it was so interesting....!
 
Kwa mchakamchaka...24 bado naipa high ranking sana. Jack Ryan nimeipenda pia....ingawa naona ina emotion moments nyingi...na few hard decisions. Katika scene nilizozipenda hadi sasa ni pale wanamchukua yule mama na watoto wake beach...it was so interesting jinsi yule mdau mwenye danguro jinsi alivohandle ile situation.....it was so interesting....!
Sawa kabisa 24 jack mawajina wanafanya vitu vizuri
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom