miminimkulimaakachekasana
JF-Expert Member
- May 29, 2017
- 3,263
- 4,741
wayward pine iko vizuri nayoHapo nimeona Quantico na wayward pines tu
Naipenda sana sky people hiyoAiseee tuachane na wale wanawake wanao penda kuangalia korean drama... tuzungumze kuhusu akili nyingi za kizungu..taja unayo ipenda na tumaelezo kwa ufupi...
Me naanza na the 100.. kisa chake ni kua baada ya dunia kushambuliwa na nuclear baadhi ya binadamu walikua waki ishi kwenye anga.... na kutokana na chombo walicho kua wakitumia (ark) kuelekea kuishiwa nguvu.. ikabidi wateuliwe wafungwa 100 ili kuenda duniani kuangalia kama dunia ina ruhusu binadamu kuishi..... sasa walio kua waki yakuta duniani ndo utamu wa movie sasa
sasa apo ongeza homeland ,mcmafia shooter, breaking badcasa del papel,the blacklist,claws,the good fight,snatch,etc
Bila kuisahau Prison break kritikaVikings naipenda
Kina Rollo
Ragnar luthbrok
Niliipenda 24 kuliko series zote
Niliipenda breaking bad my best series of all time
Niliipenda person of interest
Na nyingine nyingi
Iyo apo mkuu nenda terrarium tvJamani kuna series moja naitafuta inaitwa FRONTIER.... mwenye kujua namna ya kuipata anambie site gan
SawaPresident tanz ameikimbia ikulu... Jamaa ana hasira na resyst... Mimi naipenda jinsi mpangilio wake wa matukio ulivyo.... Lengo la tanz ni kuondoa resyst... Ila lengo la resyst bado haijulikani hasa ni nini... Liam atajuta sana.. aisee hebu kaiangalie upya
Mkisoma comment nyingi humu sio tu za Ku discuss movie wengi wanaelekezwa jinsi ya kudownload na application kibao zinawekwa. Inafika kipindi watu wanachoka kurudia jambo moja kwa Mara nyingi. Soma tu comments utapataNAWEZAJE KUDOWNLOAD SERIES KWA PC, TORRENT ZIPO SLOW
NA INDEXES ZINAHITAJI UWE KARIBU UNARESUME
Condor imeisha tayali?? nmeishia episode ya 7,,waliendelea hadi episode ya ngapi mkuu?Condorimeishaje yaani daah lets wait season 02
Bob patrich????Condor E09 imeishia pazuri
Gabriella na Joe wamepata ajali
Ila Gabrielle kamuachia ujumbe mzuri Joe, kuwa kwa sasa utajiona uko safe ila siku moja usiyotegemea, siku ambayo utakua ushasahau , gari itakuja penbeni yako na mtu, pengine umjuaye atashuka na kukuua
cheki ep10 gabrielle mzima kabisa kumbe kila mara alikua hamuui Joe coz anamzimia kaenda hadi kumcheki jamaa after 1 year akiwa na kumtakia maisha memaCondor E09 imeishia pazuri
Gabriella na Joe wamepata ajali
Ila Gabrielle kamuachia ujumbe mzuri Joe, kuwa kwa sasa utajiona uko safe ila siku moja usiyotegemea, siku ambayo utakua ushasahau , gari itakuja penbeni yako na mtu, pengine umjuaye atashuka na kukuua
Inahusu nini hiinashauri kwa wapenzi wa series mtafuteni kitu kinaitwa BREAKING BAD,bonge moja la la series ingawa sio latest sana