Maserati
JF-Expert Member
- Jun 15, 2014
- 11,602
- 20,098
Time TvSource please![]()
![]()
![]()
![]()
Time TvSource please![]()
![]()
![]()
![]()
Hakikisha una torrent client kama utorrent, ingia kwa iyo site 1337x.to ,kuna sehemu ya kusearch, andika jina la series unayoitafuta, isearch, kisha zitakuja list ya series uliyoitafuta, chagua yenye quality kulingana na matumizi yako, ukubwa mdogo wa mb na seeders nyingi, alafu ukishachagua, itafunguka na download tab itatokea, ukishadownload torrent file, lifungue kwa kutumia utorrent tayari kwa kupakua series yako.Mkuu hii 1337x. unatumiaje, mbona sijaielewa, Series nashindwa kuziona, naomba unielekeze
Mbna mm inanshnda kutumiaExtratorrent ilikuaga sehemu yangu ya kupakulia baada ya kufungiwa natumia 1337x.to
Install u torenti kwanza.
Ila hiyo web inakupa option ya search
Hakikisha una torrent client kama utorrent, ingia kwa iyo site 1337x.to ,kuna sehemu ya kusearch, andika jina la series unayoitafuta, isearch, kisha zitakuja list ya series uliyoitafuta, chagua yenye quality kulingana na matumizi yako, ukubwa mdogo wa mb na seeders nyingi, alafu ukishachagua, itafunguka na download tab itatokea, ukishadownload torrent file, lifungue kwa kutumia utorrent tayari kwa kupakua series yako.
Kama ni simu ingia playstore search utorrent, idownload, kama ni pc ingia website ya utorrent.com download utorrent ya pc, ukishakua na utorrent kwa kifaa chako ingia 1337x.to tafuta series unayoitaka, download file lake, kisha lifungue ilo file kwa kutumia utorrent, hapo unakua umemaliza kazi na utorrent itakushushia mzigo wako.thanks Mkuu lakini naomba link ya kushusha u torenti client au torenti sababu huwa Inanshind hasaaa, Then ukishadownload torrent file na ku search movie kwenye torrent, je itaku direct moja kwa moja kwenye movie katika 1337 X toau inakuwaje, yani uhusiano kati ya u torenti client na 1337 X to ni upi hasa
thanks
Mkuu hii una Download kulingana na Series uliyonayo au ni file linakuwa kwenye Simu yako, maana nimeona zinaendana na Series ili udownload hembu naomba nielekeze unai shusha vipi hii
Njia rahis sana kupitia terrerium yv kiboko ya app yyte ktk kudownloud movie na series,,kuna opp ya kuweka subtittles unapopendaWakikujibu na mimi uniquote..
Maana natafuta subtitle kinoma niko na lastship hapa s4 lkn bila subtitle kuna utamu nakosa
Njia rahis sana kupitia terrerium yv kiboko ya app yyte ktk kudownloud movie na series,,kuna opp ya kuweka subtittles unapopendaWakikujibu na mimi uniquote..
Maana natafuta subtitle kinoma niko na lastship hapa s4 lkn bila subtitle kuna utamu nakosa

Nashangaa wanavyo hangaika na zingineNjia rahis sana kupitia terrerium yv kiboko ya app yyte ktk kudownloud movie na series,,kuna opp ya kuweka subtittles unapopenda![]()
![]()
![]()
![]()
Njia rahis sana kupitia terrerium yv kiboko ya app yyte ktk kudownloud movie na series,,kuna opp ya kuweka subtittles unapopenda![]()
![]()
![]()
![]()
TroyJamani mzigo mpya naona utapunguza machungu ya GOT unaitwa TROY fall of the city Season one episode one umetoka leo
Berlin ni kalnshaicheki mpaka hapo![]()
Punisher ulshaiona??![]()
![]()
![]()
Tumesubir sana wacha zikuje tena,jaman ipi inabamba niipakue maana the Strain nmemaliza tayar
Sio ya kuhoji. The unit ni habari nyingine ila ni ya kitambo...Baada ya kuangalia last ship na punisher
Nataka kidownload series nyingine sasa nimekutana na hii "the unit" ya kitambo kama 2009 .
Kwa aliyekwisha iona ikoje???
Ni kali sana??
Umepotea,kwema???Good news indeed.
Shukran mkuu, bt maelezo yake sijayaelewa vzr naona link inaniletea options ya series selected. Nataka ni downloads series na subtitles kwenye pc then niweke kwenye flash kwaajili ya kucheki through tv,