EMPTY
JF-Expert Member
- Dec 14, 2011
- 978
- 1,196
Hihihihi! Mkuu hizo sasa dharau.Yaani tokea uzi umeanza yeye ndio wa kwanza naona anaulizia. Maybe aende akaulizie kule kwa wakorea pia wanaweza wakawa wanajua.
Hihihihi! Mkuu hizo sasa dharau.Yaani tokea uzi umeanza yeye ndio wa kwanza naona anaulizia. Maybe aende akaulizie kule kwa wakorea pia wanaweza wakawa wanajua.
KVP nani kaulizia kAtuni?????Hamna anae penda katuni
Sio dharau, kwakuwa kama zinafanana maybe wanaweza wakawa wanajua. As humu kauliza hakuna alomjibu.Hihihihi! Mkuu hizo sasa dharau.
Hata mie nazipenda lakini sijawahi stream anywhere nikizitafuta hata siku moja. Kwenye TV tu na naziacha huko hukoYaani tokea uzi umeanza yeye ndio wa kwanza naona anaulizia. Maybe aende akaulizie kule kwa wakorea pia wanaweza wakawa wanajua.
BlindspotNaomba series moja kaliiiii ya habari za intelligency CIA,FBI na Homeland ndo iwe habari za mule,
Iwe na usaliti wa kufa mtu PUNISHER nimemaliza
Mie sijazicheki kitambo kweli, tv naangalia taarifa ya habari tu, sijui ndio uhenga!!!Hata mie nazipenda lakini sijawahi stream anywhere nikizitafuta hata siku moja. Kwenye TV tu na naziacha huko huko
Kweli kabisaaaaSio dharau, kwakuwa kama zinafanana maybe wanaweza wakawa wanajua. As humu kauliza hakuna alomjibu.
Kwi kwi kwi kwi kwi. Now days kuna za ki philipino pia na za wa instabul sijui ndio wa wapi kina fatmagul ndio hizo nazicheck nikipata mudaMie sijazicheki kitambo kweli, tv naangalia taarifa ya habari tu, sijui ndio uhenga!!!
Piga chiniYaani tokea uzi umeanza yeye ndio wa kwanza naona anaulizia. Maybe aende akaulizie kule kwa wakorea pia wanaweza wakawa wanajua.
Unajua hizo ni za wApi??????Yaani tokea uzi umeanza yeye ndio wa kwanza naona anaulizia. Maybe aende akaulizie kule kwa wakorea pia wanaweza wakawa wanajua.
Ntacheki hiyo brave blindspot nimeangalia ya kwanza ya pili nimeangali epsodes kazaa naona fiction imezidi sana halafu haina msisimkoBlindspot
The Brave
Kwa mawazo yangu naona The punisher haina mvuto kabisa. Yaan kuanzia main actor na trilogy ya story. Haikustaili kuwa independent tv series kabisa ingebaki kwenye Dare Devil tuu.kaka nataka kuanza hii punisher ni nzuri au?
Ipi kali ya intelligency unayoijua mkuu ambayo ipo complete kabisaKwa mawazo yangu naona The punisher haina mvuto kabisa. Yaan kuanzia main actor na trilogy ya story. Haikustaili kuwa independent tv series kabisa ingebaki kwenye Dare Devil tuu.
Jamaa una komaa humu Hamna mtu wa hizo mambo chalii angu.
Kama ni complete hata the brave haikufai,haijaisha bado.Ipi kali ya intelligency unayoijua mkuu ambayo ipo complete kabisa
Poa mremboJamaa una komaa humu Hamna mtu wa hizo mambo chalii angu.
Ipo mpaka ngapiKama ni complete hata the brave haikufai,haijaisha bado.
Sikumbuki ya ngapi nahisi 10 au 11.Ipo mpaka ngapi