Series (Special thread)



Tuko Season ya 7 episode ya 9 mambo yana zidi kua moto humu.....
Hivi hii series inakuja kunoga kuanzia wapi, maana nimeona episode 2 za S01 haijanishika akili kabisa lakini watu wanaisifia sana.
 
Natafuta series zenye Plots za Espionage, similar to The Company, Assets, Spooks, 24...n.k. n.k.
Zifanane na hizo, anayejuwa please aweke mambo...
 
Kwa wapenda story tafuta Devious Maids ni hatari. Nzuri sana ina mauaji ya kutatanisha na visa vya kuchekesha sana ukianza na s1e1 hutatamani iishe
 
Sio secret service ndio usalama wa taifa ? Sina hakika lakini
Tiss(usalama wa taifa) huwa basic job Yao ni kumlinda rais wa JMT pamoja na kuhakikisha wanazuia mambo mabaya kabla hayajatokea(to prevent)vitu vibaya kabla havijatokea..(spy) kuspy vitu viovu..
Cia,fbi,seals,us marshals nk wenzetu wako na vyombo vingi sanaa vya usalama ambapo vpo ambavyo venyewe vinadeal na uchumi-kuhakikisha maadui hawaugusi na kuushusha kivyovyote...
But cia sio usalama wa taifa....
Usalama wao wa taifa ambao wanamlinda rais wanaitwa secret services as usual
 
Kuna hii DEFENSE INTELIGENCE AGENCY (DIA)
Nayo ni ya kwa trump
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…