Bobbyray
JF-Expert Member
- Dec 3, 2015
- 1,378
- 1,781
Strike Back imerudi S06 icheki nayoNiko very disappointed na "The Brave" ni aina ya series ninazozipenda lakini haisisimui kabisa kama ilivyo Blindspot, The Last ship au Nikita na 24
Strike Back imerudi S06 icheki nayoNiko very disappointed na "The Brave" ni aina ya series ninazozipenda lakini haisisimui kabisa kama ilivyo Blindspot, The Last ship au Nikita na 24
Negan sio mtu mzuri kabisa mji mzima wanamuogopa kama ukoma Rick atapata tabu sana kumpindua huyu jamaaWalking dead is back....Nigan atakoma kumjua Rick
Bonge moja la series, haijawahi kuniangusha since SO1, ngoja niidownloadStrike Back imerudi S06 icheki nayo
Ila safari hii wametuletea sura mpya sijui kama itanoga kama ile ya kina Damian Scotty msichana yoyote akikatiza mbele ni halali yake.Bonge moja la series, haijawahi kuniangusha since SO1, ngoja niidownload
Banshee Sherrif Lucas HoodDamian alitaka kuifanya Strike Back iwe km Spartacus.,
Bila kipingamizi Stranger things iko vizuri tena sana.Stranger things ni tamu balaa hii episodes zko 9 tu per season af season zko 2 hii series iko so addicted ukianza kuangalia episode ya kwanza huachi aisee na ukfka mwsho utataman isiishe,humu watt wamefanya kaz kweli aisee .......kwa wale wasioiangalia kaitafuten jaman nkiwadisappoint naomba mulete mrejesho humu.......
Safi sana hii kituStrike Back imerudi S06 icheki nayo
hahaha jamaa alikuwa anakula totoz mpya kila episodeDamian alitaka kuifanya Strike Back iwe km Spartacus.,
Tatizo ya hizi sura mpya series inaweza kupoa kama ilivokuwa 24 LegacyIla safari hii wametuletea sura mpya sijui kama itanoga kama ile ya kina Damian Scotty msichana yoyote akikatiza mbele ni halali yake.
Bora hata the brave ,hiyo SEAL Team ndio yakiduanzi kabisaThe brave mission za kifala kama SEAL TEAM
Stranger things ni habari nyengine mwaka huu mwanzoni walisomba sana tuzo wanastahili sana.Stranger things ni tamu balaa hii episodes zko 9 tu per season af season zko 2 hii series iko so addicted ukianza kuangalia episode ya kwanza huachi aisee na ukfka mwsho utataman isiishe,humu watt wamefanya kaz kweli aisee .......kwa wale wasioiangalia kaitafuten jaman nkiwadisappoint naomba mulete mrejesho humu.......
Kumbe nipo nyuma sana e?Stranger things ni habari nyengine mwaka huu mwanzoni walisomba sana tuzo wanastahili sana.
Hii stranger ndo ile mwanzo watoto wanaendesha baiskel then m1 wao anapotea alipokuwa akirudi hom?Stranger things ni tamu balaa hii episodes zko 9 tu per season af season zko 2 hii series iko so addicted ukianza kuangalia episode ya kwanza huachi aisee na ukfka mwsho utataman isiishe,humu watt wamefanya kaz kweli aisee .......kwa wale wasioiangalia kaitafuten jaman nkiwadisappoint naomba mulete mrejesho humu.......
Alafu zinafanana, ilianza vizuri ila inakoelekea inakuwa ya kawaida sanaThe brave mission za kifala kama SEAL TEAM
Mkuu tafta hiyo kitu,Kumbe nipo nyuma sana e?
Hiyo hiyo mkuuHii stranger ndo ile mwanzo watoto wanaendesha baiskel then m1 wao anapotea alipokuwa akirudi hom?
Ngoja niiendeleze maana nilichek e1 tu ya s1Hiyo hiyo mkuu