Duuuu!!! Like serious??Nilipokosa cha kuangalia ikabidi niitazame tu.
Duuuu!!! Like serious??Nilipokosa cha kuangalia ikabidi niitazame tu.
Season 6 ndio imeishia hivyo.Anayeangalia if loving you is wrong ...anijuze pls
Yes my dear, na niliiangalia yote hadi the flashDuuuu!!! Like serious??

The arrangement umeangalia? Ndio imemalizika season one, pia kuna if loving you is wrong,the catch,Mwenye kufaham series nzuri ambayo kisa chake ni cha mapenzi.
Sijawahi itazama the flash na wala sitakuja kuitazamaYes my dear, na niliiangalia yote hadi the flash![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Sijawahi itazama the flash na wala sitakuja kuitazama
Mie movie zeny uongo mwingi vile aqkhuuu
Me too series yenye mambo ya kufikirika, sipotezi muda wangu kuziangalia.Sijawahi itazama the flash na wala sitakuja kuitazama
Mie movie zeny uongo mwingi vile aqkhuuu
Ngoja nianze na hiyo ya if loving you is wrong.The arrangement umeangalia? Ndio imemalizika season one, pia kuna if loving you is wrong,the catch,
Series gani hiyo hadi uingie gharama mara mbili, uinunue kwa mpesa, uweke bando udawnload.Ndg naomba kujuzwa jinsi ya kununua series(movies) kwa m pesa
Yaani mimi haitakuja kutokea kuitazama the flash![]()
![]()
![]()
![]()
Just for fun sometimes, na dogo ndio alinifanya niicheki maana sikuwa na cha kuangalia and he was watching it.
Yaani sitaki hata kujisumbua uongo usio na kipimo mpaka shetani anaogopa.Me too series yenye mambo ya kufikirika, sipitezi muda wangu kuziangalia.
Yaani sitaki hata kujisumbua uongo usio na kipimo mpaka shetani anaogopa.

KaribuHodi humu ndani
Asante mbaba kwema humu?Karibu
Ni Mdada.... Kwema sana.Asante mbaba kwema humu?