Series (Special thread)

Series (Special thread)

Ndio..starring ndezi,aaqhka. Mwisho nikaanza kuwa fun wa kina kaoge na James delicious, sitakiii kabisa hayo. Hata sitaiangalia kuna series nyingi na ni nzuri tu,nitakomaa nazo hiyo prison break I give it a break
Mbona umekomaa sana ndugu kwani kuna alie kulazimisha uangalie, na ushoga wa michael ni nje ya prison break, huwez linganisha naushoga wa kwenye empire.
 
ni watu wa nchi gan wamecheza hyo movie
Labda niseme ni series ya Kimarekani kuliko kusema ni ya watu wa nchi gani manake series za USA ni kawaida kukuta watu wa mataifa mbalimbali hususani UK, Canada na Australia pamoja na nchi zingine vile vile!
 
Tony Almeida kwenye 24 legacy ameniudhiii,,kawa muuwaji wa kukodi aiseee,,,
Tony serikali ilimdisappoint kaamua kuishi kivyake. Na anakuwa professional kwenye sector ya mauaji sababu amedeal na cases za kimauaji nyingi. Pia kifo cha mkewe kilimuumiza sana.

Funzo kwa serikali, ni kuwatunza na kuwatumia vyema deadly human machines wanaowatrain till they die.
 
Zipi ziko reliable na hazizingui kwa vitisho bya cyber law... nataka nishushe vitu kwa matumizi binafsi na si vinginevyo..
 
Ukifungua unaona notification: Your IP Address is .... from Tanzania.... ikifika hapo mie wa kizamani nahisi kwikwi..
Kwavile upo Tanzania haina tatizo lakini kama ungekuwa nchi zilizo strict na masuala ya Copyright kama ilivyo USA na Europe; manake ingekuwa unaiba kazi za watu huku kukiwa na uwezekano wa kudakwa kwa sababu IP Address yako ipo open!! In short, hapo unakuwa encouraged kutumia VPN ili kuficha location yako.

So, kwavile upo Tanzania; we pakua tu manake kuiba kazi za sanaa za mataifa mengine nchi hii sio kosa 🙁🙁🙁🙁🙁!!!
 
Mbona umekomaa sana ndugu kwani kuna alie kulazimisha uangalie, na ushoga wa michael ni nje ya prison break, huwez linganisha naushoga wa kwenye empire.
Hakuna aliyenilazimisha kuangalia,na hakukuwa na umuhimu wowote wa wewe Ku reply since nilikuwa sikujivu wewe. Ndio hivo ushoga wake na ushoga wa kwenye empire pia nilishaachaga kuuangalia. Ambao mko interested angalia since haulazimishwi na mtu
 
Unataka kununua series? Wapi? Kariakoo; au?! Kama Kariakoo, je upo tayari kununua Prison Break yenye Season 11 wakati kimsingi iliishia seasons 4 peke yake?!
 
Unataka kununua series? Wapi? Kariakoo; au?! Kama Kariakoo, je upo tayari kununua Prison Break yenye Season 11 wakati kimsingi iliishia seasons 4 peke yake?!
Prison break nishaicheck mkuu...bado hii iliyotoka....kama zipo zingine
 
Prison break nishaicheck mkuu...bado hii iliyotoka....kama zipo zingine
Maana ya post yangu sio kwamba unataka kununua PB bali kukuambia kwamba Series za Kariakoo ni full uchakachuaji! Kwa mfano, PB ilikuwa ni seasons 4 peke yake lakini ukienda Kariakoo utakuta wameikata kata hadi seasons 11 ili wapate pesa nyingi!! Ukienda kwenye IRIS yenye seasons 2, kwa Kariakoo utakuta hadi seasons 4.

Kwa series mzuri, moja wapo ni Breaking Bad... hii ilishaisha almost 3 years ago ingawaje kuna spin off yake inayoenda kwa jina la Better Call Saul ambayo ipo season ya 3!!!
 
Screenshot_2017-04-12-11-50-45_1.jpg
Screenshot_2017-04-12-11-52-03_1.jpg
Screenshot_2017-04-12-11-51-06_1.jpg
 
Maana ya post yangu sio kwamba unataka kununua PB bali kukuambia kwamba Series za Kariakoo ni full uchakachuaji! Kwa mfano, PB ilikuwa ni seasons 4 peke yake lakini ukienda Kariakoo utakuta wameikata kata hadi seasons 11 ili wapate pesa nyingi!! Ukienda kwenye IRIS yenye seasons 2, kwa Kariakoo utakuta hadi seasons 4.

Kwa series mzuri, moja wapo ni Breaking Bad... hii ilishaisha almost 3 years ago ingawaje kuna spin off yake inayoenda kwa jina la Better Call Saul ambayo ipo season ya 3!!!
Asante nimekuelewa mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom