Series (Special thread)

Nimetoka kuimalizia movie mpya ya Gentleman thief ya John Travolta, yupo na kina Quavo na DJ Khaled, na niliianza toka Jana, trailer ilikuwa inavutia, nimejuta balaa movie ni mbaya haina ukhalisia hata nukta,

nimeenda kwenye ratings nimekuta ni 3.3 nikasema nafuu kumbe tupo wengi..!πŸ™ŒπŸΎ
 
Hapo ndio utagundua kuna utofauti kati ya kuimba na kuigiza. Movie mbovu sana
 
Nilijichanhanya nikaangalia episode 3 za mwanzo sasa kila nikichungulia kwenny site naona ipo episode 4 tu kudadadek hapa nimechoka kusubiri 😀😀😀
na kama umetazama ya 5 nakuhakikishia ndiyo utachanganyikiwa zaidi..!

ahsante..!😁
 
Ulitaka uwalilie wale wahuni walibamizwa na Zoe/Joe?, yan ile ndo dawa ya wasiojulikana..wangekuwa wanakutana na ule moto hata huku Malawi akili zingewkaa sawa 😁
😁😁
sikuwaonea huruma washenzi wale, ila honestly nilikuwa natamani ile hekaheka na mkimbizano uendelee, vile napenda violence ya kistaarabu..!πŸ™ŒπŸΎ
 
Niliona movie ina wasanii wa kuimba huwa siangalii
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…