Hiyo The husband nayo niliona ina sweep kwenye panel ya trending nikaikaushia.Hiyo series ni Kali hasa kuanzia episode ya 2 kwendelea ndio utamu unanoga na Kuna nyingine imetoka mwaka huu inaitwa The Husband weka kwenye list yako nayo ni ya kikorea wakati wapo kwenye ndoa yenye mgogoro so jamaa anaamua kuomba talaka kwa mkewe wakati sakata ndio linapamba moto mkewe anatekwa na mtekaji anaambiwa apeleke kiasi kikubwa cha fedha hajakaa vizuri Police wanamkamata kwa kesi yeye kuhusika kuwa ndio amemteka mkewe na mazingira yote yanaonesha hivyo ingawa hajafanya
Bonge moja ya tambo kubaabake! dogo anajua!🫡View attachment 3629603
Hatari na nusu 🔥. Imeachiwa leo na leoleo nimeichukua😂. Mzigo hadi sasa una episodes mbili zote zamoto.
Ilianza vizuri sana ila ep zinazofuata kua uhindi mwingiTangu mwezi jana nilikuwa naiona hii ila niliamua kuipotezea kwasababu ya wakorea kuzidisha masihara kwenye scenes zao.
View attachment 3629773
Kuna jamaa anaitwa Rahul huko IG kanifanyia recap ya hii series ambayo ikanifanya nipende idea. Nikaamua niicheki wakati nasubiria game ya baadaye.
Mr Q, Vincenzo Jr sijui kama mmeicheki ila nataambaa nayo hivyo hivyo ikiniletea alosto naifungia busta kesho naimaliza. Japo zinaendelea kutoka na mpaka sasa zilizokamilika ni episode 6.
Kuanzia ya ngapi? Maana niko ya 3 now ila bado sijaimalizaIlianza vizuri sana ila ep zinazofuata kua uhindi mwingi
Pamoja sana vipi umeicheki movie ya Neglected?Hiyo The husband nayo niliona ina sweep kwenye panel ya trending nikaikaushia.
Ngoja nikomae na hili pin, hili ndio litanipa mwelekeo kama naweza kuendelea kuangalia na zingine au nitahitimisha kuwa Korean series ni wazugaji.
Ipoje mama?Bonge moja ya tambo kubaabake! dogo anajua!🫡
Mkuu sitojutia??Widows Bay ishaanza kuingia kwenye michongo ya tuzo huko duniani series kalii mno
HapanaPamoja sana vipi umeicheki movie ya Neglected?
Baba ni tamu balaa, huyu dem bana, wameiba pesa ndefu sana yeye na bf wake halafu jamaa akamtoroka hotelini, wametangazwa kwenye vyombo vya habari FBI wanamtafuta na wasakara wanamsaka hawaelewi kabisa ila dada ana mbinu vibaya mno walianza umafia akiwa mdogo na mshua wake amabaye kwa sasa yuko gerezani, KWAHIVYO mpaka sasa hakuna alofanikiwa kumnasa! Nimeishia episode ya 2 aisee itoke ya 3… now nipo naendelea na Ride or die naye huyu bibi hachekeshi!🙌🏾Ipoje mama?
Ep ya 5 na 6Kuanzia ya ngapi? Maana niko ya 3 now ila bado sijaimaliza
Ila hata mimi zile action za mwanzoni zile zilivyoanza na slow motion namimi pale nili sense danger.
Ukitulia kaka usipo tulia utajuta mnoMkuu sitojutia??
Hii naenda leo kuitafuta kakaTafuta kitu cha marlboro siku ikae sawa 😁😁
Vin umeona Ride or die?Hii naenda leo kuitafuta kaka
Bado ngoja niitafuteVin umeona Ride or die?
Aisee haipoi haiboi episode ya kwanza mpaka ya mwisho🙌🏾Bado ngoja niitafute
Hmm kitambo sana!View attachment 3630589
Chukueni hiyo wakuu