Series (Special thread)

Series (Special thread)

The mummy
The mummy returns
Na Ile set ya ..."has fallen"
Yeah hizi zote kali, ila kama set nzima ya ...."has fallen" uliipenda basi pata muda kupitia WHITE HOUSE DOWN hii movie ilitoka 2013 ni kali sana.
MV5BNTZkMmRiY2EtOTljZS00MjJjLWFiNDQtNjEwYWE0NWNkYjI4XkEyXkFqcGc@._V1_.jpg
 
OLYMPUS HAS FALLEN.
Lockheed_Gunship_firing_it%27s_flares.webp

1. Kuna hii scene hii mashine inaitwa The Lockheed C-130 Hercules ilikuwa inashusha Njugu aisee ile scene walitulia Sana.

Ni ndani ya Sekunde chache sana pale White House - Washington DC kwa bwana Trump kukawa kumechakazwa vibaya sana.

Sasa vuta picha chuma kama hizi 10 ziingie anga lenu, aisee itakuwa ni msiba
 
OLYMPUS HAS FALLEN
7220096-1.jpg


2. Halafu kuna huyu mnyama anaitwa The Night Stalker MH-60M DAP Black Hawk, kuna ile scene chuma 4 zinawahi eneo la tukio huku zipo kimo cha Mbuzi speed 180 masaa ya mbele.

Oya wale terrorist walivozinyaka mashine kwenye camera wakachanganyikiwa.

Hii chuma inakufumania ukiwa usingizini bado unaota ndoto nyevu, inakuwahisha ahera.
 
OLYMPUS HAS FALLEN
View attachment 3577592

2. Halafu kuna huyu mnyama anaitwa The Night Stalker MH-60M DAP Black Hawk, kuna ile scene chuma 4 zinawahi eneo la tukio huku zipo kimo cha Mbuzi speed 180 masaa ya mbele.

Oya wale terrorist walivozinyaka mashine kwenye camera wakachanganyikiwa.

Hii chuma inakufumania ukiwa usingizini bado unaota ndoto nyevu, inakuwahisha ahera.
Hiyo scene ni noma, magaidi wakatega mfumo wa phalanx kule juu ya ghorofa yenyewe automatic inatrack helicopter na kumwaga risasi nyingi sana. Chopper site zikaangushwa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom