Seran
JF-Expert Member
- Feb 7, 2025
- 10,539
- 31,563
Aisee hebu fanya kweli nipunguze hizi stress😐Pole ndugu dah! Natamani tungepata hata kampani tupige kush na shisha😎😎
Aisee hebu fanya kweli nipunguze hizi stress😐Pole ndugu dah! Natamani tungepata hata kampani tupige kush na shisha😎😎
Niko hapa 😂😂View attachment 3561360
Hivi Depal ukowapi? Yani huyu jules ana hasira na kimmie, uncle norman naye anataka kuwasha moto kwa mallory si unakumbuka balaa lake la season uno? Sijapenda ilivyoishaa😫
Depal ulikuwa wapi jana nlikuwa nakutafuta tule pilauNiko hapa 😂😂
Haikutakiwa kuisha kizembe vile unless kuna S3 itakuja.. me nataka Jules ajue nani alimsukuma Glen afu tuwe na vita mpya😂
Nataka Roy aendelee na mams ake Felicia mpk siku mke wa ndoa Mallory awachinje 😂😂
#This is chess and you still playing checkers.. checkmate MF 😂😂 watupe s3 bana
Ulinitafutia wapi ukanikosa? Ndio sababu ya kuninyima hiyo?Depal ulikuwa wapi jana nlikuwa nakutafuta tule pilau
Umeisha, nimebakiza mchuzi wa nyama tu , nikutumie kwenye boda auUlinitafutia wapi ukanikosa? Ndio sababu ya kuninyima hiyo?
Eid Mubarak
Lete huo ukoko, au nao umeisha?
Ilikuwaje mchuzi ukawa mwingi kuzidi pilau 😂😂😂Umeisha, nimebakiza mchuzi wa nyama tu , nikutumie kwenye boda au
hyo ni mboga nikinunua kuku naunga na huo huo mchuzi sina haja ya kununu nyanya tena 😁Ilikuwaje mchuzi ukawa mwingi kuzidi pilau 😂😂😂
Safi sana nitaanza na hiyo under the salt mash.Watu mnachimba hadi Unfamiliar umeicheki mi niliangalia tu blindly nkakuta nzuri..
Kuna The Asset, Land of Sin na Under the salt Mash zinafanana na Unfamiliar style na scenery za nje ya mji...
Uwii huo moto sio wa kitoto! Kimmie ataishiwa pawaa..Niko hapa 😂😂
Haikutakiwa kuisha kizembe vile unless kuna S3 itakuja.. me nataka Jules ajue nani alimsukuma Glen afu tuwe na vita mpya😂
Hawa hawakomi haki! Felicia kuchomwa dumu la kahawa labda ataacha🫢 Nimeona kaamua kuja na 3some lenye boobs😈😈Nataka Roy aendelee na mams ake Felicia mpk siku mke wa ndoa Mallory awachinje 😂😂
Checkmate nimekubali.. S03 itakuwa ya moto sana! Natamani kuona norman na jules watakuja vipi😱😋#This is chess and you still playing checkers.. checkmate MF 😂😂 watupe s3 bana
Aww 🥰 nayo si habaa this time round wamekuja wazi kabisa🤗Mmeangalia fatal seduction
Memory of a killer ni mkasi 🔥
😁😁 Haya usinipe mchuzi tupu, uwekee na nyama sasahyo ni mboga nikinunua kuku naunga na huo huo mchuzi sina haja ya kununu nyanya tena 😁
Me nashindwaga kuwaelewa hawa wanaoigiza scene za aina ile 😁Aww 🥰 nayo si habaa this time round wamekuja wazi kabisa🤗
Nakuwa na mume kama Roy.. kila siku angekuwa anaoga maji yenye upupu 😂 kabla nimmalizeUwii huo moto sio wa kitoto! Kimmie ataishiwa pawaa..
Hawa hawakomi haki! Felicia kuchomwa dumu la kahawa labda ataacha🫢 Nimeona kaamua kuja na 3some lenye boobs😈😈
Checkmate nimekubali.. S03 itakuwa ya moto sana! Natamani kuona norman na jules watakuja vipi😱😋
Fanya kuwaelewa tu ma mkali..😅Me nashindwaga kuwaelewa hawa wanaoigiza scene za aina ile 😁
Yani mi sijui ningemfanyann yule mshenzi🫢 unamvutia bangi kwanza ili usimuonee huruma🤣Nakuwa na mume kama Roy.. kila siku angekuwa anaoga maji yenye upupu 😂 kabla nimmalize
Mimi pia nimeishia hapoView attachment 3561505
Naishusha hapa,inaishia hapo kwenye episode 7 au zipo nyingine?
Season 1 ina Episode 10 kila J3 wanatoa Ep 1...View attachment 3561505
Naishusha hapa,inaishia hapo kwenye episode 7 au zipo nyingine?