Series (Special thread)

Series (Special thread)

Hujaianza kabisa?

Inaonekana ni kali kwasababu kwamza rate zake zinashtua.

Series imetoka tarehe 4 lakini ina rate ya 9.2 wakati Breaking Bad ya 2008 na ina 9.6

Sijamaliza episode 1 nimeishia pale wachina walioofanyiwa ambush.

Nasubiria mizuka inijie nianze kuangalia.
Trailer yake imenivutia kesho naishusha
 
Kizungu Chao ni kile Cha akina Alexander na akina harry 😁😁😁. Pia mazingira yote namna y uvaaji n.k ni ladha za kwa malikia tupu
At least hii accent yake haisumbui kusikika nadhani kwasbabu hata ya stori kuzungumzia miaka ya zamani kabla slang azijaanza kuharibu lugha
 
Nilikua nasubiri Hijack season 2 ikamilike nianze kupata burudani, ila naona ngoja niisubirishe kwanza kwakua burudani ninayoitarajia haipo kwa mujibu wa maoni ya wadau😄
 
Episode 1 nimeikata

Hili ni bonge la chupa
1772792405302.png
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom