Series (Special thread)

Hawataki kukakamaa vidole na ngozi kama sisi😂
kuna story nilisikia kuna msukuma mmoja alienda Tanga kwenye mgahawa hizi za uswahilini mida ya saa 2 usiki akakuta wana maandazi, chapati,mihogo na mikate ya kumimina, badala ya ugali na wali jamaa akala hivyo hivyo ila saa saba usiku kaamka anasikia njaa unauma vibaya 😁
 
Nimecheka😂
Kuna mwingine alienda dar akakuta wametenga mezani kiugali kama ngumi, asikile chote akajua ni wake🫢 kumbe wa familia nzima🤦🏽‍♀️
 
Shida inaweza kuwa chuki kama alivyosema Dr. Mariposa ama muda mwingine inakuwa aibu, kuna watu wakiwa na shida ni bora akope kwa mtu asiye mfahamu vizuri kuliko kwa ndugu yake au rafiki yake,
wanadamu wana wivu na roho mbaya sana, Mungu atusaidie tu, ndiyo maana Mungu aliweka siri sana kufahamu nani anakuwazia nini..!🙌🏾
 
Pole dear,
sijui ni kwanini lazima tupitishwe huko, mimi huyo wangu alinipiga matukio balaa, kwanza mpaka kujua anayonifanyia alishafanya damage kubwa sana kwenye maisha yangu..!
Hakuna kitu kinauma kama usnichiwe na mtu wako wa karibu na wanasema adui yako hatoki mbali,
Pole na wewe pia love, ni kuishi kwa akili sanaa
 
Hii shida imenipata juzi tu nilivyokuwa mombasa kwa mama watoto
 
Haina mambo ya uchawiuchawi na ma dragon?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…