๐น๐น๐น๐นH
Hapana kwakweli ila huyu wa sasa kanibadisha hadi dini lakini wapi bado naendelea kupenda watoto wakali ๐ yaani dah kutoka kuitwa Charles now naitwa Khalid
Na wale ma bikra 72 waliopo peponi ๐๐น๐น๐น๐น
Sheikh Khalid bhaana, kwahiyo hapa unataka โhalalโ ya wake 4 ili u enjoy neema za Allah..!??
Eeenh mambo ndio hayo aisee ๐ ๐ ๐๐น๐น๐น๐น
Sheikh Khalid bhaana, kwahiyo hapa unataka โhalalโ ya wake 4 ili u enjoy neema za Allah..!??
Pole sana..!Hivi huko kwenu internet imetulia kweli maan mimi napata tabu kwenye streaming na download sipati Raha ๐ญ๐ญ๐ญ
Huku kigamboni network hatupati mwananguPole sana..!
kwa nilipo mtandao upo wa kutosha na ninatumia line ya tigo..!!View attachment 3499746
ni laini gani..!?Huku kigamboni network hatupati mwanangu
Router yangu ya voda inazingua ๐ญni laini gani..!?
tatizo lipo kwa mitandao yote..!??
ni wewe peke yako ama ni watu wote wa Kigamboni..!? ninavyoelewa kuwa Vodacom ndiyo wana mtandao bora zaidi, sasa kama router yao inazingua then ni maajabu..Router yangu ya voda inazingua ๐ญ
Ni router tu ila kwenye laini ya kawaida ipo fresh ila wanazingua sana aisee nashindwa kuenjoy Leo dah!ni wewe peke yako ama ni watu wote wa Kigamboni..!? ninavyoelewa kuwa Vodacom ndiyo wana mtandao bora zaidi, sasa kama router yao inazingua then ni maajabu..
jua kwanza chanzo cha tatizo ni nini kisha utafute suluhisho accordingly..!
yataaaapitaaaaa, yaaaaana mwiiiishoooo ๐ถ ๐ตNi router tu ila kwenye laini ya kawaida ipo fresh ila wanazingua sana aisee nashindwa kuenjoy Leo dah!
the running man imeshatoka mzee..!?
Inakaribia kuachiwa. Vincenzo Jr anaweza kuleta majibuthe running man imeshatoka mzee..!?
akija aniambie kama na one battle after another ipo tayari huku duniani kwetu..Inakaribia kuachiwa. Vincenzo Jr anaweza kuleta majibu
Ipo cinema hiyo mwananguthe running man imeshatoka mzee..!?
Hii nayo bado ipo cinema mwanangu ila mwezi ujao unaweza ikaja online au kwenye tarehe 19 mwezi huu tunaweza kupata hd yakeakija aniambie kama na one battle after another ipo tayari huku duniani kwetu..
Mwanangu hiyo movie Ina watoto wakali sana kina teyana Taylor kina chase infiniti, regina hallakija aniambie kama na one battle after another ipo tayari huku duniani kwetu..