Series (Special thread)

Hata mie EMPIRE hapana kabisaa yani sijawahi angalia hata episode moja...napenda series/movie za majambia na gang related' series na intelligence hasa zinazo wahusu waarabu na adventure na series zinazo involve technology na mambo kama hayo kwa mfano the 100 na revolution ni top series kwangu ila revolution wamezingua kuishia season 2....Kingine kinachomata kwangu ni story na kama ni series ni action ziwe kwelii sasa hapo ndio kimenishinda kwa GOT ingawa naifatilia na saiv nasubir season mpya itoke.....
 
Hivi THE ORIGINALS iliendelea au wameishia kati?

GAME OF THRONES imenipita sana duuh mpk King Jofrey kafa!!

EMPIRE thumb up!

TEEN WOLF my favourite.

Series za kizungu nimekua mvivu sana kuangalia I dont knw why,
Atleast movies.
Nimevutiwa na series kuliko movies
Breaking Bad-Lets cook
Banshee-Mkono na kugegedana mwanzo mwisho wa series
Hannibal-Tuliza akili ukicheki hii kitu Hannibal nilimkubali sana
Dexter-Scream and you loose your tongue
Narcos-I'm Pablo Emilio Escobar,Banks are bandits
Mr.Robot-Mambo ya hacking na mkono kidogo
Daredevil-Inamkono mbaya alfu jamaa ni blind
Penny dreadfull
The strain
 

Hahahahaha, umenivunja mbavu, ati kila mtu awe na TV yake,
Nimegundua wewe ni muoga, hahahaha,
Basi ukiangalia FINAL DESTINATION nahisi utazimia kwa kutetemeka,
Hasa uipate collection yake uangalie 1-5, thubutuuuu tutakupeleka ICU wewe lol.

Movies za kutisha ziko poa sana, yani husinzii na raha yake uangalie usiku, we acha tu.
 

Ahsante,
Nitajaribu kuangalia
Hiyo Dexter ni ya kutisha??
Maana ndio mambo yangu hayo.
 

Spartacus naipenda sana na juzi juzi tu hapa niliirudia,
Sema iliniuma sana jamaa walivyokufa daah!

Rome daah bonge moja la series sema inahitaji concetration sana ili uielewe, me niliishia kati sijui kama iliendelea ama laa.

Empire hata me kuna ndugu yangu haipendi tena anashangaa watu wanavyoisifia,

Watu tupo tofauti sana.
 
Unafikiri uoga?! Hayo ma-vampire yenu sio kwamba nayaogopa wala nini!! Kitu ambacho nakiogopa/kunikata stimu hata kama ni kwenye tv ni vitatu tu-- NYOKA, MADUDU WASHA na Jamii zake, VIUMBE WENYE MIGUU MIIINGIIIIIII (JONGOO, TANDU N.K)!!! Kama ni hao, am sorry... ghetto kwangu chini ya mlango nimeweka papi ya ubao ili hao jamaa wasije kupenya!!!

Tatizo langu kwenye filamu/series ni moja-- napenda mambo ambayo in one way or another yawe possible in the real world na ndio maana utakuta napenda sana spy stuff kv The Americans. Ushawahi kuangalia X-File? Ingawaje mambo mengi kama sio yote ni uongo lakini nilikuja kuangalia baada ya kuziona declassified files za CIA ambazo ziikuwa zinaelezea Unidentified Flying Objects - UFO (see below). Hapo ndipo nikafahamu kumbe UFO issues zilikuwa ni burning issues even in the real world After World War II na wakati wa Cold War na hapo ndipo chanzo cha series/filamu zinazohusu UFO na ndipo nikaanza kuzifuatilia!
 
Halafu sijaona wafuasi wa Suits humu-- au nipo peke yangu?!
mkuu chige ata mm nilikuwa nashangaa wapo wapi but me nipo aseeee ...nampenda sana mzee wa kuoga matopeeee na ongea yake ya kibabe
 
mkuu chige ata mm nilikuwa nashangaa wapo wapi but me nipo aseeee ...nampenda sana mzee wa kuoga matopeeee na ongea yake ya kibabe
Hahaa, yaani Louis lazima umpende tu no matter what!! He's my favorite kwa kweli ingawaje sometime ananiboa anavyotumia nguvu kutaka kumfurahisha Harvey!
 
Hahaa, yaani Louis lazima umpende tu no matter what!! He's my favorite kwa kweli ingawaje sometime ananiboa anavyotumia nguvu kutaka kumfurahisha Harvey!
Me louis akiongea lazm nirudie rudie mara mbili tatu...nafurahi mno
 
Jamaa anajua si kidogo-- yaani hapa nasubiria S05E14 hiyo Jumatano manake naona kama haisogei!!!
Hahahah me sjaicheki bado ep 13 aliyeniibia modem yangu bado namlaaaaaani atakufa siku si nyingii
 
Hahahaaaa! Kwakweli pole zetu aiseee, kuna siku nikawaza nikasema maybe sijaichukulia serious mbona inasifiwa sn! Nikaiweka tena, khaah bado ikanishinda nikajikuta nasinzia tu nikaamua tu kuachana nayo
Mtakuwa mnakosa sana uhondo kwani Game of Throne ni moja Kati ya series bora kabisa kuwahi katokea rate 9.5 - 10
 
Hapo kwa Banshee nakuunga mkono naipenda sana hii series
 
Mie series za majambia hapana kwakweli, yes napenda movie iliyochangamka sio naangalia kama niko msibani.
 
Mtakuwa mnakosa sana uhondo kwani Game of Throne ni moja Kati ya series bora kabisa kuwahi katokea rate 9.5 - 10
kila mmoja na ntazamo wake lkn kwng mm cjawai kuielew maana wale watu muhim ndo wanakufa alafu kuna wakat inapooza sn...
 
kila mmoja na ntazamo wake lkn kwng mm cjawai kuielew maana wale watu muhim ndo wanakufa alafu kuna wakat inapooza sn...
Kuna series tatu tu ambazo nakua anxious Sana kupata muendelezo wake na hata kutaka kujua new season ni lini..

1. 24
2. The Last Ship
3. Game of thrones and Into The Badlands
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…