buildings tanzania
JF-Expert Member
- Mar 14, 2023
- 582
- 2,105
Hahah wale nao walipendana sanawanawazidi Spencer na Alexander kwenye 1923
Tafuta Fargo, ila kwenye hii series kila season utakutana na character ambaye ana tatizo la kisaikolojia. Season ya nne kuna mdau hadi mlango wa gari anagonga mara tatu kabla ya kufunguaπnilianza na Tehran
nikaja Fauda.. ipi nyingine ya kuangalia?
ππ Fargo ni noma sanaTafuta Fargo, ila kwenye hii series kila season utakutana na character ambaye ana tatizo la kisaikolojia. Season ya nne kuna mdau hadi mlango wa gari anagonga mara tatu kabla ya kufunguaπ
Nenda na Tyrant, Caliphate, na The Spynilianza na Tehran
nikaja Fauda.. ipi nyingine ya kuangalia?
Iko vizuri, ruka nayo kama vpWakuu hii series ya spy inaitwa SLOW HORSES huwa naipita tu vipi niipakue niicheki au ni marangirangi?
Tyrant nzuri ila haijaisha, mwishoni atakua disappointedNenda na Tyrant, Caliphate, na The Spy
TERMINAL LIST Dark wolf...wameachia episode 3Iko vizuri, ruka nayo kama vp
Tyrant nzuri ila haijaisha, mwishoni atakua disappointed
Yeah manTyrant si ina season 3, kwani pale bado haijaisha?
Watu wanatumia mihemko.. hii sina mashaka nayo itafanya vizuri.Wewe uliyesema hautaicheki SISU unatukosea sana wapenzi wa movie's hebu kula kwanza trela π€©π€©ππ
Mzee mbadi sana huyu
View: https://youtu.be/VmStqCXIgio?si=wmBSs11gaILAI8DC
Mr Q wewe unataka tukuandame wewe huangaliii movie za kina SUPERMAN,BATMAN, movie za miujiza huangalii cha ajabu unazisifia movie za huyo babu SISU , sasa movie za SISU na hizo sci-fri zinatofauti ganiWewe uliyesema hautaicheki SISU unatukosea sana wapenzi wa movie's hebu kula kwanza trela π€©π€©ππ
Mzee mbadi sana huyu
View: https://youtu.be/VmStqCXIgio?si=wmBSs11gaILAI8DC
Mkuu. Wewe unaamini Kuna nyundo ikioigwa chini inageuka kitu kama bomu Yani inasfisha mtaa mzima kwa mawimbi na kishindo chake? Mi hizo za akina wonder woman hapana aisee. Angalia akina SISU unaona kabisa mtu anakula sululu la kichwaMr Q wewe unataka tukuandame wewe huangaliii movie za kina SUPERMAN,BATMAN, movie za miujiza huangalii cha ajabu unazisifia movie za huyo babu SISU , sasa movie za SISU na hizo sci-fri zinatofauti gani
Umeichukulia wapi aisee? Nimedownload kutoka moviebox ila subtitles zilikubali ep ya kwanza tu. Ep ya 2 na 3 subtitles za English tu zipo ila wakiongea kikorea na kijerumani hakuna tafsiri. Nikapotea nikaiacha.Treadstone nzuri aisee mie naweza irudia hii chuma
Mimi nili ipata telegramUmeichukulia wapi aisee? Nimedownload kutoka moviebox ila subtitles zilikubali ep ya kwanza tu. Ep ya 2 na 3 subtitles za English tu zipo ila wakiongea kikorea na kijerumani hakuna tafsiri. Nikapotea nikaiacha.
Daah. Telegram sina sasa. Kila nikijiunga Telegram sijawahi kujua napataje movies.Mimi nili ipata telegram