Miguel Alvarez
JF-Expert Member
- May 28, 2019
- 3,350
- 6,419
Haitishi sana mkuu🤣🤣🤣
Haitishi sana mkuu🤣🤣🤣
Yule ana asili kama ya watu wa ethiopia/eritreaNdio humo wale wadada wawili yule black nilimpenda mno 😎
Ndio kwanza nipo ep ya pili....Ya yule dada samaki mtu!? Sio Kali sana
Ndio maana mzuri sanaYule ana asili kama ya watu wa ethiopia/eritrea
Me nlijua unasema hiiNdio kwanza nipo ep ya pili....
Sio. Hii ninayocheki ni SirensMe nlijua unasema hiiView attachment 3345379
Aha sawaSio. Hii ninayocheki ni Sirens
Naona wazungu tupu, yumo na Julianne MooreNdio humo wale wadada wawili yule black nilimpenda mno 😎
mtu ushaambiwa this show is scary just imagine..!!😂😂🙌
😂😂😂Usiogope mwanangu hii hakuna majini ipo freshi hii unatizama ukiwa na popukoni Kabisa 😎😎😎🔥🔥
Conrad kachelewa mno kumjua snitch wake, anakuja shtuka it's too late..!🙌Sema Mobland season 2 yake itakuja kuwa kali sana
Pole mwanangu hizo ndio tamu utazoea tu horror 😎😎😂😂😂
Nilitazama ashfall juzi, nashangaa Jana nimeota Mimi ndiyo natafutwa kwenye thermal image, nikawa najificha msituni eti mwishowe nikafanikiwa kutoroka..!!
Sijui niache movie kwa muda..? Kuna kitu hakipo sawa kwa hii kichwa walaqhi'..!🙌
Izingatie vizuri ni series kali japo kwangu niliona season 1 inatosha kabisa.Wakuu nimeanza kuangalia series ya Severence mniombee. Inahitaji umakini kweli ukizubaa tu huelewi chochote unaishia kuona haifai. Ila kama niliweza kutoboa kwenye series ya Dark basi hata HII NINABEBA
Is it worth watching?Nipo najikumbushia Movie yangu pendwa ya muda wote, hii hata niangalie kila siku siichoki😃😃😃
View attachment 3345788
Sana, hujawahi kuona ?Is it worth watching?
Ukimaliza cheki na mementoIs it worth watching?
Bado mkuu, ngoja niiweke kwenye listSana, hujawahi kuona ?