Series (Special thread)

Series (Special thread)

Msimu wa 3 umeisha ukiwa na EP 8 Cc Carleen Mr Q dosho12 if cap fits
20250327_190800.jpg
 
One episode down. Series za hivi huwa zinafikirisha sana. Yani unakuta unatafakari mwenyewe ingekuwa imetokea kwenye familia yako ungefanyaje?

Baba anataka kumkamata mshukiwa wa mauaji ya mtoto wa hule. Kabla ya kufanya hivyo anabaini mwanae anahusishwa na mauaji hayo ooh my God. Acha nisonge nayoView attachment 3284241
Hii series ni kalii sana 🔥
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom