Series (Special thread)

One episode down. Series za hivi huwa zinafikirisha sana. Yani unakuta unatafakari mwenyewe ingekuwa imetokea kwenye familia yako ungefanyaje?

Baba anataka kumkamata mshukiwa wa mauaji ya mtoto wa hule. Kabla ya kufanya hivyo anabaini mwanae anahusishwa na mauaji hayo ooh my God. Acha nisonge nayo
 
Hilo dude ni kali mkuu mimi nipo ep ya 6
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…