Oya 99% dead ulipata subtitle yake?Nilikuwa naiona gangs of London alafu naipitaga oya nimekuja kuicheki hii series ni Kali mno, yaani nilivyoimaliza dead 99% nikawa nawaza series ipi nyingine ambayo inavibe Kama hiyo dah Kama masiala nikaanza na gangs of London oya ni konyo
Mimi nilitumiwa ikiwa na subtitle sijui aliipataje maana niliwekewa mwezi wa Kwanza ndio nimekuja kuicheki mwezi huuOya 99% dead ulipata subtitle yake?
Watu kuchezea k au mashine kawaida sana hii series 😅Kina sister hapa job aliniombaga movie nika reccomend hio alikuja kunilaumu😀😀
Tulikwambia humu hiyo ni Kali sana mkuuNilikuwa naiona gangs of London alafu naipitaga oya nimekuja kuicheki hii series ni Kali mno, yaani nilivyoimaliza dead 99% nikawa nawaza series ipi nyingine ambayo inavibe Kama hiyo dah Kama masiala nikaanza na gangs of London oya ni konyo
😃😄😃Zozote nacheki mkuuIla ni kweli sijawahi kumuona akisema movie au series fulani ni mbaya inawezekana Hana taste kwenye movie ndio maana anapenda zote
😄😃😃Hapana nduguSema mwamba huwa naona wewe kila series unasifia ni kali 😂😂😂😂😂
Hivi kuna series ambayo wewe uliangalia ukaona ya kiwaki?
Mkuu kama uko na unlimited internet, share hiyo series telegram au google drive then share link hapa maana siku ya tatu leo nahaingaika kuhusu hii series aisee.Mimi nilitumiwa ikiwa na subtitle sijui aliipataje maana niliwekewa mwezi wa Kwanza ndio nimekuja kuicheki mwezi huu
Hili ni wazo zuri, atupe link tu tutiririke nayoMkuu kama uko na unlimited share hiyo series telegram au google drive then share link hapa maana siku ya tatu leo nahaingaika kuhusu hii series aisee.
shukran in advance
Mkuu ile 99% Dead ulipata subtitle yake?Tulikwambia humu hiyo ni Kali sana mkuu
Bado ilidunda aisee Cc Mr QMkuu ile 99% Dead ulipata subtitle yake?
Hiki chuma sio powa hii inafaa mwanangu Carleen apite nayoView attachment 3274101
Kuna hii movie ya 2011, inahusu kundi la watalii walikwenda kulichunguza pango lipo Papua New Guinea. Wakati wapo chini kwenye mfereji wa maji mmoja wao akapatwa na shida kwenye kifaa chake cha kupumulia.... Ni adventure moja kali sana.
ngoja nipite nayoView attachment 3274101
Kuna hii movie ya 2011, inahusu kundi la watalii walikwenda kulichunguza pango lipo Papua New Guinea. Wakati wapo chini kwenye mfereji wa maji mmoja wao akapatwa na shida kwenye kifaa chake cha kupumulia.... Ni adventure moja kali sana.
Hio inafanana na hiiHiki chuma sio powa hii inafaa mwanangu Carleen apite nayo
Usisite kuleta mrejesho.ngoja nipite nayo
Hiki chuma sio powa hii inafaa mwanangu Carleen apite nayo
Unapenda sana mystery na adventureView attachment 3274322
Ulishaangalia hii movie ya 2015, mashujaa walikwenda kuvua nyangumi kwenye bahari kuu, wakitokea mashariki ya marekani - Atlantic Ocean wakazunguka hadi amerika ya kusini na kuja kuitafuta magharibi ya marekani - Pacific Ocean, ndipo wakakutana na nyangumi mkorofi...
Tena hizo movies ni matukio ambayo yaliwahi tokea kabla.Unapenda sana mystery na adventure
Ngoja niishushe hapa
Mkuu hii bado ngoja niidownload hiiView attachment 3274322
Ulishaangalia hii movie ya 2015, mashujaa walikwenda kuvua nyangumi kwenye bahari kuu, wakitokea mashariki ya marekani - Atlantic Ocean wakazunguka hadi amerika ya kusini na kuja kuitafuta magharibi ya marekani - Pacific Ocean, ndipo wakakutana na nyangumi mkorofi...