Asee hii inaonekana chuma hasa wadau mlete mavituzi tuburudike namna hii. Namwona mzee wa bullet train ndaniii πππUnyama huo
Mkuu utanipa heads up kama ipo poa nishusheNamalizia kushusha helicopter heist na hii nitembee nayo
Wadau wanasema hajafakweli aisee mi nimemind sana Jackal kutokamatwa, mbaya zaidi katuulia kipenzi chetu Bianca, mpaka watu wanabishana hajafa
Yule kashadedi aisee. Kwa ule muda aliolala pale chini, damu inatoka mdomoni, na Jackal kamuacha tu vile...keshaenda mbinguni yule.Bianca hajafariki
Yule tayari kasha aga dunia.Wadau wanasema hajafa
Wengine wanasema kafa dahh
π€£π€£π€£π€£ Ngoja tuone s2
Kale ka jerumani kalileta makuzi kale ππππRisasi moja tu ya jicho kutoka kwa mwamba Jackal inamhusu.
Season 2 jamaa atakuwa anatoroka nchi na private jet baada ya msako mzito kutoka kwa Zina upande mmoja na MI6 agents kadhaa kwenye ma Range meusi waliokuwa wakimfukuza barabarani na yeye kuingia kwenye parking building na kubadilisha magari na kuwapoteza.
Atafanikiwa kuingia kwenye ka airstrip cha don mmoja mwenye winery nje ya mji kwenye kashamba flani ka mizabibu. Atatoka kwenye hangar vizuri tu na ki Gulfstream G8 chake na kuclear runway vizuri tu, ila ndege ikiwa hewani na ka stewardess kakiwa kana mmiminia champagne, ghafla mlango wa rubani unafunguliwa na rubani anatoka. Rubani ni nani? Jackal mwenyewe.
Wanaongea mawili matatu halafu Jackal anampiga ile "F@#k you" kama ya kale katapeli kengine ja kijerumani na kumpiga moja ya jicho.
ni tamu kinoma ngoja niipakueJe wajua opening theme ya "This Is Who I Am" katika the day of jackal imeimbwa na mwanadada Celeste
Kale ka jerumani kalileta makuzi kale ππππ
Ni kwa kuwa season ya 2 imetoka kipindi watu wako busy na The Jackal, ila ni series kali mno.Ila Silo tamu ambaye hujaicheki anza nayo, kwa sasa ipo season 2 ep 5
Naam Mimi nasubiria EP ya 6 ijumaa ijayoNi kwa kuwa season ya 2 imetoka kipindi watu wako busy na The Jackal, ila ni series kali mno.
Sisi tunaendelea episode 5.
Umakini na Uthubutu, series inatengenezwa miaka kadhaa ndio inaachiwa.Wenzetu sijui wanatengenezaje hizi series zao yaani wanakuteka akili unajikuta
Unampenda mtu au kumchukia Ile toka moyoni, baadae unajishaangaa unakumbuka kumbe nacheki muviπ
Ha ha ha ila Mimi Bianca sijamkubali.kweli aisee mi nimemind sana Jackal kutokamatwa, mbaya zaidi katuulia kipenzi chetu Bianca, mpaka watu wanabishana hajafa
Naunga mkono hoja π€£ πUmakini na Uthubutu, series inatengenezwa miaka kadhaa ndio inaachiwa.
Sio hawa wenzetu kila weekend wanaingia site kutuleta episodes za wiki nzima inayokuja.
Yep, sio rahisi character wampe na Familia kabisa, (mume na mtoto) halafu wamuue kizembe vile, Pia bado Bianca kuna kitu anatakiwa kujifunza.Yule kashadedi aisee. Kwa ule muda aliolala pale chini, damu inatoka mdomoni, na Jackal kamuacha tu vile...keshaenda mbinguni yule.
Labda kama waweze kutuaminisha kuwa Jackal alimuokoa akamficha mahali na kumpa uangalizi. Hii haiwezekani maana jamaa nae alikuwa busy kumfuatilia make wake aliyetoroka nyumbani...
Wanaweza kuispin hii story iwe kwamba Bianca na Jackal wawe rogue antiheroes wakishirikiana kupambana na wale waovu wa ukweli kwenye system kama yule Lannister na yule Minister, huku Osita akiwapa support kwa siri ndani ya Section 303...
Ha ha ha ha Wabongo wanaangalia Kwanza Mzigo upo? Akili baadae.View attachment 3177281
Hili toto linazua mijadala mikubwa mitandaoni kama mtu mbaya The Jackal ameliua au la!
Kwa ninavyowajua wabongo watakua wamelipendea msambwanda Tu hakuna kingineπ€
Wabongo wanapenda sana chini, wakiongozwa na huyu mwamba Vincenzo JrHa ha ha ha Wabongo wanaangalia Kwanza Mzigo upo? Akili baadae.
Kuna kameseji kakikuda bianca alimtumia afisa mwenzake. Sema afisa ni.mwoga kinoma alifuta palepaleTatizo mnaangalia series hamfatilii habari za huko Kwa platform nyingne.
Bianca alishakufa mana ule msemo wa tumuache aende Spain then sisi tutajua namna ya kudeal nae walijua tu tutamfahamisha mwamba na hatoweza kuwaacha salama this time.
Kwa habari njema season tu ishaanza kuandaliwa ila hawajaanza kushoot.
So tusubir mwaka ujao mwshon au 2026.