Ndege Tai
JF-Expert Member
- May 6, 2020
- 5,089
- 9,423
Embu ipe rate yako?Si imeshamalizika yote season 1 mkuu
Embu ipe rate yako?Si imeshamalizika yote season 1 mkuu
Ndio kakaSi imeshamalizika yote season 1 mkuu
Nimeona wameweka kwenye introduce pale ikianza pelekeni mbele Mimi ndio navyofanya Hawa wanaharibu sana seriesNa maujinga yao wataweka hawa.
Sasa episode zote hizo wanasukuma ajenda yao.Nimeona wameweka kwenye introduce pale ikianza pelekeni mbele Mimi ndio navyofanya Hawa wanaharibu sana series
The CRoss imekaaje ?Nimeona wameweka kwenye introduce pale ikianza pelekeni mbele Mimi ndio navyofanya Hawa wanaharibu sana series
Wanazingua sanaSasa episode zote hizo wanasukuma ajenda yao.
Naipa 9.5The CRoss imekaaje ?
Ipe rating?
Naipa 9.5
Story inahusu serial killer na mwamba anaitwa Alex Cross ambae ni Homicide Detective pia ni Forensic Psychologist.Kumbe kali eeh nimeishusha muda ila napata uvivu kuianza
Story inahusu serial killer na mwamba anaitwa Alex Cross ambae ni Homicide Detective pia ni Forensic Psychologist.
Cross licha ya ku solve kesi nyingi lakini kesi ya muuaji wa mke wake na hiyo ya serial killer zilifanya kichwa kizunguke.
Binadamu wanaishi katika Silo... Hii Silo kwa lugha rahisi ni kama kota ambazo zimejengwa chini... Hizo kota ni kubwa mnoo na kuna watu nyomi tu wanaishi humo.Kama story ndo hiyo ngoja nianze nayo kesho, Vipi SILO maana ilinishinda season 1 episodes za mwanzo kabisa
Binadamu wanaishi katika Silo... Hii Silo kwa lugha rahisi ni kama kota ambazo zimejengwa chini... Hizo kota ni kubwa mnoo na kuna watu nyomi tu wanaishi humo.
Kutoa kauli ya kusema unataka kwenda nje ni kosa kubwa mnooo, maana wanachosimuliwa ni kwamba...
nje hakuna maisha na moment unayotoka tu lazima ufe. Silo inaongozwa na Committee ambao ndio wana plan na kuongoza kila kitu.
Juliette alikua ni engineer, baada ya mpenzi wake kufa kifo cha kutatanisha anaamua kufanya investigation... Anayokutana nayo ndio yakupasa...
utazame kujionea. Mzigo una episodes 10 tu.
Huu mzigo uwe umekula nguna mzee![]()


shukrani mkuu bila shaka kuna pisi za kwenda humo kama Raven wa The 100
Humu Kuna huyu mtoto wa kiSwedishshukrani mkuu bila shaka kuna pisi za kwenda humo kama Raven wa The 100
Kwa pisi hamna, kwanza hata mapenzi hawafanyi, kama unapenda mambo ya harakati basi karibu ujionee jinsi binaadam anavyopambania uhuru wake,shukrani mkuu bila shaka kuna pisi za kwenda humo kama Raven wa The 100
Tupo tunasubiria EP ya 7 jumapiliNdo kusema hili dude halina mashabiki humu?
Mie nikiona mambo hayo napeleka mbele ila naona miyeyusho sana kutazama ila sina jinsi aiseeni kupelekea mbele tu na Kuna the boys hiyo ndio Kuna laana kabisaDaaah!
Pamoja na unyama wake wote lakini Muzungu amefanikiwa kumpaka Jamaa shombo ya ushoga.
View attachment 3164985
Series ya kibabe namna hii imepakwa mafuta ya ushoga, vijana softie wakiangalia hii series wataanza kuona ushoga ni jambo la kawaida.
Tuna Kazi kubwa sana kulinda kizazi kijacho cha wanaume.
EP ya 3 ipo itafute😃😃Kwa pisi hamna, kwanza hata mapenzi hawafanyi, kama unapenda mambo ya harakati basi karibu ujionee jinsi binaadam anavyopambania uhuru wake,
Nipo season 2, ep 2.
Hatari sana mkongwe!Mie nikiona mambo hayo napeleka mbele ila naona miyeyusho sana kutazama ila sina jinsi aiseeni kupelekea mbele tu na Kuna the boys hiyo ndio Kuna laana kabisa