Best series 🔥TULSA season2 kuna mikwara wanapigana wauza ngada ni balaa
Lioness si nzuri.Homeland
Special ops Liones
The Americans
Naunga mkono hoja na homeland je?Lioness si nzuri.
The Americans ni nzuri sababu kuna uhalisia fulani na si misson zote wanapata, zingine wanafeli
Mimi ilinishinda episode ya 2Tulsa King mnaisifia nikajarib kuitazama sioni maajab story nyingi🚮🚮
Shida mshazoea kuona series za mtu mmoja kapiga watu 13 kama umeishindwa Tulsa king je pressumed innocent utaweza na je mayor of Kingston utaiweza na breaking bad je?Tulsa King mnaisifia nikajarib kuitazama sioni maajab story nyingi🚮🚮
Hii kama hujafikia level za uchumi wa magumashi huwezi kuelewa kilichomo. Ukienda kwa wmiliki wa makasino na ulimwengu wa kutakatisha fedha ambao wengi raia wa tz waliaminishwa ni haram(wakati wakubwa wanapiga pesa) hao wamiliki wataielewa vilivyo. ILa kwa raia wa kawaida Bible sana hutaipenda kamwe.Tulsa King mnaisifia nikajarib kuitazama sioni maajab story nyingi🚮🚮
Msimu wa pili unakuja kakaHii wakitaka kumaanisha nini?
Mie baada ya kumaliza nipo nalia hapa aisee 😀😃😃😀Hii the jackal kama hujaishusha nakushauri usubiri kwanza ikamilike. Nimemaliza episode7 hapa najuta kwanini niliharakisha kuichukua kabla haijakamilika.
Mi kila wakati nilikua naangalia zimebaki dk ngapi.. Hutamani iishe!Mie baada ya kumaliza nipo nalia hapa aisee 😀😃😃😀
Kabisa kaka hii series kalii sana 🔥 🔥Mi kila wakati nilikua naangalia zimebaki dk ngapi.. Hutamani iishe!
Show yamoto sana 🔥Hii the jackal kama hujaishusha nakushauri usubiri kwanza ikamilike. Nimemaliza episode7 hapa najuta kwanini niliharakisha kuichukua kabla haijakamilika.
Season 3 DWIGHT MANFRED atakua informer wa FBATULSA season2 kuna mikwara wanapigana wauza ngada ni balaa