Mr Q
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 21,012
- 46,771
Ndio hiyo green mile?Awapi
Mi ni mbishi sana kuwa trapped na fikra za directors
Ndio hiyo green mile?Awapi
Mi ni mbishi sana kuwa trapped na fikra za directors
YeahNdio hiyo green mile?
😃😀😀Nimeimaliza
Ni nzuri
Iliniyumbisha kimtindo ikataka kunihuzunisha lakini nikatumia zile principles mbili nikasimama vyema.
Vimefika 6Mzee From imefika episodes ngapi mpaka sasa, nimejitahidi kukaza Hadi ikamilike yote.
NdioImeishia pazuri sana, Season ya 3 sijui ndo hadi October mwakani
Ni comedyInahusu nini, Ina mambo ya kichawi au kutisha, ndo genre nayoipenda zaidi.
Kalii sana hii 🔥Hapa tunaenda sawa nilikua nasubili iishe ndo nianze kuangalia
Kwani hii umesha malizana nayoWazee nahitaji movie za Heist zinazotumia akili nyingi
Hii nimemalizaKwani hii umesha malizana nayo
View attachment 3141313
Hii nimemalizana nayo ya kawaida sana , mapenzi mengi kuliko matukioKwani hii umesha malizana nayo
View attachment 3141313
Mbona kama inafanana na sugar yani haina mzuka?
Nimeikubali sana hii kazi, binafsi naipa 9/10Mbona kama inafanana na sugar yani haina mzuka?
Tunamaliza mwaka vizuri, Silo na Squid Game zinakuja🔥🔥🔥
Aseeh mnamoyo sana kufuatilia episode 1/1 , mimi nimevumilia angalau zifike episode 8 ndo nianze kuangaliaFrom S03E07
Loading…..