Naunga mkono hoja.Lord of the rings sijaona kitu kabisa, character wake hawana mvuto lakini pia kuna too much animation kwenye hii series. Sishauri mtu kuipakua
Mkuu relax it's just a movie..Naunga mkono hoja.
Series haina chochote mule ndani, inalazimishwa tu kwa kupitia umaarufu wa zile muvi za lord of the rings watu wapige pesa.
Ukiachana na cinematography, hakuna cha maana humu.
Pure definition of fantasy crap ndio hii sasa.
Duuuh mbona niko relaxed mkuu 😂.Mkuu relax it's just a movie..
Naam nilikwambia mkuu hiyo kitu kalii sana hiyo ukimaliza pitia na dark matterFRINGE
Hii series nzuri bana.
Haya Sasa kumekuchaaa, aisee safari ya arosto ilikuwa ndefu sana. Nasubiri ijae episodes zisogee sogee kwanza. Dah safi sana hatimayeTayari tushapata EP ya kwanza Cc rip faza_nelly
Link From Season 1 Complete WEB-HD 480p, 720p, & 1080p - TodayTvSeries View attachment 3102793
Kabisa kaka 🤣 😁Haya Sasa kumekuchaaa, aisee safari ya arosto ilikuwa ndefu sana. Nasubiri ijae episodes zisogee sogee kwanza. Dah safi sana hatimaye
😁😂😂😂 Sawa sawaWakuu, kwa ambao mtakua mnaangalia FROM weekly mjitahidi msiweke spoilers, sie wengine tunasubiri isogee kidogo.
Mimi nishapita nayo 😎😎Mzigo wa From S03E01 ushatoka hapa
Usiku kuanzia saa nne ndio ntaichek, ngoja tujiandae na mechibza weekend kwanza Simba, Manchester City Vs Arsenal naadae Milan Derby
Kalii sana hii kakaWacha mi nitembee na huyu mzee kwanzaView attachment 3103323
Watu wameomba tusiwaspoil🤣View attachment 3103716View attachment 3103717
I hope BOYD is dreaming
Cc rip faza_nelly Greatest Of All Time Msumb Kingsmann
🤣😁😁😁Watu wameomba tusiwaspoil🤣
Launched jana
View: https://youtu.be/5fjdCu25Ac0?si=G52e9Kc4N7CobJm4
Wanakujaaaa eeebwana eeeh bado siku 20 mtu wangu 😎😎😎😎 Cc ephen_ min -me