Ndio nilimfatilia kabla sijaanza kuiangali maana nilishangaa muhindi kafata nini Hollywood tena.
But ameishi US mda mrefu kidogo ndio maana hata lafudhi yake huwezi kugundua...nmempenda bure hahahaha
Ingawa kwenye acting za action bado hajafiti vizuri kihollywood hollywood maana ni mzito sana hata kwenye mapigano,kukimbia na kuruka viunzi, naona kama anampa kazi kubwa sana director wake.
Huyu mbona Kama priyanka chopra😐😐😐
Huyu mbona Kama priyanka chopra😐😐😐
Huyu mbona Kama priyanka chopra😐😐😐
Ndio yeye mkuu
Huyu ndo anashindana na Diamond kwenye Mtv "best worldwide act"..Sure Alex parish alikuwa miss India mwaka 2000 in real life pia mwanamziki moja nyimbo hii hapa :- YouTube video! http://www.youtube.com/watch?v=sPhhZg9v9NU
Hadi sasa nimeona ni moja ya series ambayo ni ngumu kutabiri matukio yako, sijui kwa huko episodes zitakazofata.Quantico sasa inakuwa nzuri
ok..let wait and see..what if alex ndo bomber..Swala la yeye kupona peke yake nalo linanipa maswali..Na jinsi wanavyoshirikiana na booth sielewi..Kama alex hajahusika it means Alex didnt shoot Booth..Why Booth aseme Alex ndo alimpiga risasi?..Kuna mchezo unaendelea hapoLiam angekuwa anamtaka kimapenzi asinge mtumia booth huku anajua kisha sex nae
Miranda alimwambia Liam vile kwa vile walishawahi kuwa wapenzi kabla ya Liam kuwa demoted from top official wa FBI to a trainer so anahisi Liam yuko after Alex kimapenzi
Kama uliangalia part ya Miranda ana mvisit Riana(pacha) baada ya kudrop out of academy with out information alimsimulia rudia that part kuna sectret reveled coz alikuwa emotional
Booth kesha gundua Liam yuko after something bad kwa Alex kumbuka order alizokuwa anapewa na kwa sababu yuko in love kwa Alex ameamua kumsaidia from inside hence lazima a pretend!
Watoto karibia wote wakali aisee..It seems like FBI inarecruit watt wazuri tuUkiangalia hata kwenye hiyo video uliyoattach unaona kabisa ni mzito kucheza,
Huyu binti kwa kweli ni mzuri na anavutia but hiyo ndio kasoro yake inabidi afanye sana mazoezi
Huyu ndo anashindana na Diamond kwenye Mtv "best worldwide act"..
Hadi sasa nimeona ni moja ya series ambayo ni ngumu kutabiri matukio yako, sijui kwa huko episodes zitakazofata.
Diamond platinum..Mtt wa tandaleDiamond yupi?
ok..let wait and see..what if alex ndo bomber..Swala la yeye kupona peke yake nalo linanipa maswali..Na jinsi wanavyoshirikiana na booth sielewi..Kama alex hajahusika it means Alex didnt shoot Booth..Why Booth aseme Alex ndo alimpiga risasi?..Kuna mchezo unaendelea hapo
Ukiangalia Booth alitoa jibu kama la kumridhisha Liam ili apate discharge pale hospital.
Ndio maana ameaidi kumsaidia
Mkuu ushahidi alioutoa Booth ni mkubwa sana..Sidhani kama angeweza kusema vile kwa lengo la kuruhusiwa hospital tu..Nadhani kuna kitu nyuma ya paziaUkiangalia Booth alitoa jibu kama la kumridhisha Liam ili apate discharge pale hospital.
Ndio maana ameaidi kumsaidia
Aneijua alias anidokeze bas kama ipo poa niitafute