Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 32,240
- 79,795
Afu ilikuwa cancer ya tumboni ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜”😔
Cancer ni ugonjwa mbaya mno, aliyemalizia scene ya mwisho ni mtu wamefanana kiasi, siyo yeye kabisa..!!🙌
Afu ilikuwa cancer ya tumboni ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜”😔
Cancer ni ugonjwa mbaya mno, aliyemalizia scene ya mwisho ni mtu wamefanana kiasi, siyo yeye kabisa..!!🙌
acha tu,Afu ilikuwa cancer ya tumboni ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜
Ndio ya tumboni ðŸ˜ðŸ˜acha tu,
Hivi Chadwick pia si ilikuwa Cancer..??
todaytvseries.one
Kitu cha red eye nimekishusha mgoja nikitengee muda
Red eye kalii sana kakaKitu cha red eye nimekishusha mgoja nikitengee muda
View attachment 3009235
Vipi kuhusu michael,sucre,theodoro🤔1. Breaking bad
2. Better Call Saul
3. The Wire
4. Game of throne
5. Vikings
Ndo naanza ep1 ngoja nioneUliyerecomend Red eye kongole kwako...
Huyu Richard anakuwaga serious sana, nilipomuona tu nikasema nikasema hiki chuma...
Kwenye The Strange nilimuelewa sana!
Unataka muvi gani uwekewe direct linkWakuu naomba msaada jinsi ya kudownload movie kupitia sim
Niliumia sana pia Arman aliitendea haki nafasi yake.the guy is gone aiseeeh'...
Imebidi kwenye 3rd season wamuue tu pia, nimelia serious huwezi amini..!! He doesn't have to die..!🙌
I couldn't agree more, he was the best..!🙌Niliumia sana pia Arman aliitendea haki nafasi yake.
Kuna The 100 na Yellow jacket mkuuWazee hii Manifest nimechelewa kuijua aisee, napenda sana Ile genre ya mistery. Nipo season ya 3 now. Kama Kuna nyingine yenye mahadhi kama hayo naomba.
Mkuu kwemaa Demon slayer umefikia episode ya ngapiHa ha ha Takamura wanamuita King of Perverts msumbufu Sana afu Mbabe sana.
Huwa napenda sana kusikikiza Kwa voice yao ya Kijapan ndio huwa naona napata kitu original.
English huwa naona kama sipati ile ladha maana inakuwa fake Sana.
Safi Mkuu. Leo ngoja nitembee kidogo na Hashira Training
Kwema Mkuu.Mkuu kwemaa Demon slayer umefikia episode ya ngapi
Unatumia website ipi mkuu kushusha..Kwema Mkuu.
Nipo Episode ya Pili, nasubiri ziongezeke kidogo maana naona imefika ya nne.