Series (Special thread)

Series (Special thread)

Mkuu nashukuru sana nilibakiza hivyo vipande vya season 5. Nmemaliza season 4 kwakweli niseme sijui kama itakuja series nyingine yenye ladha kama hii yenye urefu kama huo isiyo isha uhondo kama hiyo. Ngoja twende na reacher tuone maana nayo naona inazidi kuwa ya moto
 
Mkuu nashukuru sana nilibakiza hivyo vipande vya season 5. Nmemaliza season 4 kwakweli niseme sijui kama itakuja series nyingine yenye ladha kama hii yenye urefu kama huo isiyo isha uhondo kama hiyo. Ngoja twende na reacher tuone maana nayo naona inazidi kuwa ya moto
Kabisa Mkuu hiyo series ni kalii sana na kule kwenye lile gereza la kule uarabuni season 5 ni kalii sana ni balaa tupu sio powa aisee
 
IMG_9609.jpeg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom