We ulichoona ni hiko tu?M mwenyewe nipo season 3 ila jamaa yetu ana nyota ya pussy😂😂😂
We ulichoona ni hiko tu?M mwenyewe nipo season 3 ila jamaa yetu ana nyota ya pussy😂😂😂
Ndio naimalizia hapa nipo season 4 nisijui nilichelewa wapi kuijua














Nilikuwa naingalia tangia wanatoa Episode moja moja back in the days, one of the best original series productionNdio naimalizia hapa nipo season 4 nisijui nilichelewa wapi kuijua
Kibongo bongo tungesema ana nyota ya UkimwiM mwenyewe nipo season 3 ila jamaa yetu ana nyota ya pussy![]()
,
Ushoga au?Haya majamaa mawili ndio yaliyoharibu series
View attachment 2814336
Jamani hongera,Nilikuwa naingalia tangia wanatoa Episode moja moja back in the days, one of the best original series production
Niliiona nzuri sana.... ssn 2 naimani itakua moto zaidiHapana ni 1
Rebeca alikua ana pepo la ngono, kila mwanaume anamvulia nguo, hadi anko wakeKuna yule anna na yule demu alifukuzwa na wazazi wake aloo wanampa utamu sana yule jamaa




Inaitwaje?Yap
Kwani bado hujaicheki hiyo series?
Who killed SaraInaitwaje?
Nahisi bado
Yule demu sio powa sema nacho mpendea ana mvuto sanaRebeca alikua ana pepo la ngono, kila mwanaume anamvulia nguo, hadi anko wake
Nilicheka alimshika bodyguard wa anko wake na yeye alitaka kumpa utamu kumbe jamaa hana mazaga waliyakata
Halafu kauliwa kijinga sana, alikua anataka maisha ambayo sio yake licha ya anko wake kumpa kila kitu.
Ni yeye kalii sana hiiKama huyo mbele apo ni John David Washington basi humu kuna jambo ngoja niitafute
AsanteJamani hongera,
Sasa unaikumbuka kweli maana ni zamaniiii

Shukrani kaka.View attachment 2809737
Kuna mtu kashawahi kuicheki hii ?? Kama bado itafute
Kaka kuhusu hii airtel. Ni unaweza kutoa info zaidi. Nipo na jirani yangu tunataka kuchukua haka kadude tuwe tunashare cost.Kaka nina unlimited data ya airtel kwa mwezi ni 70 k