Ambition plus
JF-Expert Member
- Feb 23, 2018
- 6,403
- 12,019
Napenda visa vya mwendelezo...Vipi wakuu hi nayo Kali???
Ndege Tai, Charles kilian, Dream Queen, Mvaa Kobazi, Franky Samuel, Mr Q,
View attachment 2790405
Inahusiana na nini?Haiboi, hao ke wameupiga mwingi
sijui kwa nini nilifuta ningeurudia
Hii banshee ni movie au series?? Mbona kama single movie vileBanshee ni moja kati ya series kali sana kuanzia story mpaka mtiririko wa matukio yah ni vizuri ukaanza na hii ndio Lupin ifuate
Ni seriesHii banshee ni movie au series?? Mbona kama single movie vile
Unatumia mchuzi wa nyama ila nyama hauli.mizagamuo haina shida ,,,shida ni hayo maujinga yao ya ushoga
OkNimetafuta humu sikuona special thread kwa ajili ya series ila movies.
Kwa wale wapenzi wa series tujadili hapa series tulizoona na ilivutia,pia wengine ambao hatujui baadhi ya series tunaweza kupata hapa majina ya series mpya.
Kwa upande wangu hizi ni baadhi ya series nilizongalia na zimenifurahisha.
1.Leverage
2.Breaking bad
3.Prison break
4.Burn Notice
5.Lost
6.Revolution
7.How to make it in America
8.How I met your mother
9.Martin
10.Community
11.Walkind dead
Hizo ni baadhi tu..
UPDATES ZA SERIES TOFAUTI KUTOKA KWA WACHANGIAJI KWENYE THREAD.
New tv series nnazozipenda.
1.The last kingdom
2. Narcos
3. Quantico
4. Blindspot
5. The bastard executioner
6. Limitless
7. Jessica Jones
8. The Returned
9. Tyrat
10. Power
Mkuu hii ninayo yote ni kalii sana kuna finch humu ana balaa sana ni IT na kuna kina john ,root,sameen hawa duo yao nzuri sana ila nilisikitika sana kifo cha joss CarterVipi wakuu hi nayo Kali???
π Ndege Tai, Charles kilian, Dream Queen, Mvaa Kobazi, Franky Samuel, Mr Q,
View attachment 2790405
Kabisa kile kipande ni hatari sanaHivi kuna muvi inasisimua kama SAW X 2023 recently?
Nimeishia pale wanarushiana utumbo wa mwenzao ili utumike kama kamba nitaendelea nayo baadae ngoja kwanza nipumzike.
πππ
Nyingine kama hiyo vipi?Kabisa kile kipande ni hatari sana
Sijakuelewa kakaNyingine kama hiyo vipi?
Kuna muvi nyingine kama hiyo?Sijakuelewa kaka
Zipo kibao kaka kuna The Boy,Happy Death Day 2U,Hannibal,The Belko Experiment,Escape Room,it, scream,Texas Chainsaw MassacreKuna muvi nyingine kama hiyo?
Ambayo haina u super natural power yaani matukio anhalau ni halisi. Watu wana feel pain kama hivyo
Nitazitafuta weekend hii niamshe adrenal ππππZipo kibao kaka kuna The Boy,Happy Death Day 2U,Hannibal,The Belko Experiment,Escape Room,it, scream,Texas Chainsaw Massacre
Hizi ni kalii sanaNitazitafuta weekend hii niamshe adrenal ππππ
Ongezea na moja wanachinjana sana inaitwa green roomNitazitafuta weekend hii niamshe adrenal ππππ
Nitapita nayoOngezea na moja wanachinjana sana inaitwa green room
Kama ni hii basi movie sio seriesNi series
Hiyo ni movie Ila kuna series inaitwa BansheeKama ni hii basi movie sio seriesView attachment 2795707