Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 44,069
- 95,678
Sema wajapan Hawa chelewi kuzingua, una ikumbuka Alice to the border land ilivyo kuwa π€Mimi nimeingalia na kuiludia tayari nimeiludia series kali tena inafaa hata kuangalia na familia , season 1 hawajaweka mambo ya ushoga tuombee season 2 waende hivyohivyoView attachment 2767233
Utamuona huko mbeleYeah huko sija fika bado, ila nami ni kisu.
Ana kifua na tumiguu twa kwenda
Imekaa sana kama anime hata mitandaoni inasemwa hivyoHi sio animation, ni movie mzee.
πAnimation ilitoka kitamboo
π€£π€£ unakutaniaga na mkeo kizani au? Mkisaka watoto?Vili nishinda π€£ππ, mtu una kuwa Kama uko jelaπ€£ππ.
πAu continental hotelπ
Hiyo dawa sio nzuri. Niliwahi ambiwa pia.π€£π€£ππ Daktari aliniambia nisi zoee sana kutumia π€£π€£π
IAM singleππ€π€£π€£ unakutaniaga na mkeo kizani au? Mkisaka watoto?
Mkuu napinga Hilo, ila Kabla ya hi kulikuwa na animation yake ya mwaka 98-99 huko.Imekaa sana kama anime hata mitandaoni inasemwa hivyo
Haifai kwa matumizi ya Mara kwa Mara, ni katika too much pain ndo Ina suggestiwaHiyo dawa sio nzuri. Niliwahi ambiwa pia.
Na nilipoambiwa nilitupa hapo hapo.
Sawaaa mkuuMkuu napinga Hilo, ila Kabla ya hi kulikuwa na animation yake ya mwaka 98-99 huko.
πHii ni adventure,
Ila ina saidia mara moja mojaHiyo dawa sio nzuri. Niliwahi ambiwa pia.
Na nilipoambiwa nilitupa hapo hapo.
Kabisa mtoto Black yuleeUnamsemea NAMI mimi nampenda yule dada ake Black yule aseeh ile ni pisi kali kikifika kipande chake mpk nastopisha kwanza nimuangalie vizuri
Humu netflix wameupiga mwingi sanaMimi nimeingalia na kuiludia tayari nimeiludia series kali tena inafaa hata kuangalia na familia , season 1 hawajaweka mambo ya ushoga tuombee season 2 waende hivyohivyoView attachment 2767233
Sema ni mwizi sana πππ€£Yeah huko sija fika bado, ila nami ni kisu π€£π.
πAna kifua na tumiguu twa kwenda π
Wew haunaga akili kaangalie series zilizo tafsiriwa na machizi wenzio ili uelewe maana huu uzi haufai kwa vilaza kama wewKuna watu humu wanasifia series hata kama sio nzuri ili waonekane wanajua..
Be advised!
Haya mambo mulize bro Charles, mie ndio kwanza naingia season 2 Ila hiyo fire country bado cjaicheki!Bado tu hawajatoa S3? Nimechoka kusubiri
Na je Fire country S2?
Ila ana miaka 30 ππππ, ila kile kify na ka uso ni π₯π₯Sema ni mwizi sana πππ€£
Hebu zitaje hizo mbovu, au ndo Ume pagawa mzeeππ€£Kuna watu humu wanasifia series hata kama sio nzuri ili waonekane wanajua..
Be advised!
Dah jomba ana furahisha Sana, sija ona kazi mbovu.Wew haunaga akili kaangalie series zilizo tafsiriwa na machizi wenzio ili uelewe maana huu uzi haufai kwa vilaza kama wew
Huyu anatafutaga mtu atukanane nae tu huyu sio mzima kabisa mshamba sana anaonekana sio mzima wa akili na inaonekana hata series na movie anazo tizama itakuwa za kutafsiriwa na ma dj wa karikooDah jomba ana furahisha Sana, sija ona kazi mbovu.
πNi vile genre au ujumbe hauja mvutia au sio kwa ajili ya mtu fulani.