Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 118,288
- 219,523
Kwani kuna ugumu gani ?Wawakamate? Thubutu labda uingie mfumo mpya kbs wa utawala!!
Ni kweli tunahitaji reset kwenye mfumo wetu wote.Wawakamate? Thubutu labda uingie mfumo mpya kbs wa utawala!! Nb: Nakuhakikishia fuatilia comments hapa utawagundua wahusika kwa namna moja ama nyingine πππ
si tunaambiwa serikali ina mkono mrefu !kama anathibitisha aliewatuma wauaji kafa, watamkamata nani sasa ?
Yeye akitaka aseme aliyewatuma kafa, ila waliotumwa wapo ambao ni fulani na fulani. Wakishaitwa nao watasema kama walitumwa kweli au hapana.
Mtuhumiwa kafa Sasa hapo Kuna kesi gani? Maana ndio anawajua aliowatumaView attachment 2742023
Akizungumza mbele ya maelfu ya wananchi kwenye mkutano Mkubwa wa hadhara , Makamu Mwenyekiti wa Chadema , amesema kwamba , Tangu aliposhambuliwa kwa Risasi hakuna yeyote aliyekamatwa wala hakuna uchunguzi uliofanyika hadi sasa .
Amedai kwamba hapo awali , alidhani haukufanyika uchunguzi kwa vile aliyewatuma wauaji wakati huo alikuwa Rais , kwahiyo ingekuwa vigumu kujikamata na kwamba IGP wa wakati huo alikuwa Sirro , lakini sasa Rais ni Samia na IGP ni Wambura .
Tundu Lissu ameendelea kuhoji kwamba , Sasa kama viongozi wale wa zamani wamebadilika na wale wabaya wameondoka , hawa wema akiwemo tunayesema NANI KAMA MAMA , Mbona wahalifu hawa hawakamatwi ?
Ujumbe wake huu hapa
View attachment 2742019
Awataje wakamatweView attachment 2742023
Akizungumza mbele ya maelfu ya wananchi kwenye mkutano Mkubwa wa hadhara , Makamu Mwenyekiti wa Chadema , amesema kwamba , Tangu aliposhambuliwa kwa Risasi hakuna yeyote aliyekamatwa wala hakuna uchunguzi uliofanyika hadi sasa .
Amedai kwamba hapo awali , alidhani haukufanyika uchunguzi kwa vile aliyewatuma wauaji wakati huo alikuwa Rais , kwahiyo ingekuwa vigumu kujikamata na kwamba IGP wa wakati huo alikuwa Sirro , lakini sasa Rais ni Samia na IGP ni Wambura .
Tundu Lissu ameendelea kuhoji kwamba , Sasa kama viongozi wale wa zamani wamebadilika na wale wabaya wameondoka , hawa wema akiwemo tunayesema NANI KAMA MAMA , Mbona wahalifu hawa hawakamatwi ?
Ujumbe wake huu hapa
View attachment 2742019
Lissu ana maneno ya kukera yenye ukweliAmedai kwamba hapo awali , alidhani haukufanyika uchunguzi kwa vile aliyewatuma wauaji wakati huo alikuwa Rais , kwahiyo ingekuwa vigumu kujikamata na kwamba IGP wa wakati huo alikuwa Sirro , lakini sasa Rais ni Samia na IGP ni Wambura .
Hivi Rais Samia anaanzaje kuanza kuwakamata waliomshambulia Lissu mwaka 2017 kwa namna anavyomtukana majukwaani.View attachment 2742023
Akizungumza mbele ya maelfu ya wananchi kwenye mkutano Mkubwa wa hadhara , Makamu Mwenyekiti wa Chadema , amesema kwamba , Tangu aliposhambuliwa kwa Risasi hakuna yeyote aliyekamatwa wala hakuna uchunguzi uliofanyika hadi sasa .
Amedai kwamba hapo awali , alidhani haukufanyika uchunguzi kwa vile aliyewatuma wauaji wakati huo alikuwa Rais , kwahiyo ingekuwa vigumu kujikamata na kwamba IGP wa wakati huo alikuwa Sirro , lakini sasa Rais ni Samia na IGP ni Wambura .
Tundu Lissu ameendelea kuhoji kwamba , Sasa kama viongozi wale wa zamani wamebadilika na wale wabaya wameondoka , hawa wema akiwemo tunayesema NANI KAMA MAMA , Mbona wahalifu hawa hawakamatwi ?
Ujumbe wake huu hapa
View attachment 2742019
Hehehesi tunaambiwa serikali ina mkono mrefu !
Acha roho mbaya mkuu. Kiburi cha uzima na cheo ulichonacho ni kwa neema tu.Hivi Rais Samia anaanzaje kuanza kuwakamata waliomshambilia Lissu mwaka 2017 kwa namna anavyomtukana majukwaani.
Hili jitu kweli likishambuliwa na watu wa Magufuli lakini halina shukrani. Wachana nalo
Hamna haja ya kuwakamata mtu mwenyewe hana shukrani.si tunaambiwa serikali ina mkono mrefu !
Rais Samia ni mwanasiasa Lissu ni Mwanasiasa pia. Mashambulizi ya kisiasa ni jambo la kawaida.Hivi Rais Samia anaanzaje kuanza kuwakamata waliomshambilia Lissu mwaka 2017 kwa namna anavyomtukana majukwaani.
Hili jitu kweli likishambuliwa na watu wa Magufuli lakini halina shukrani. Wachana nalo