Ameanza Tundu Lissu nchini Ubelgiji kisha impact yake ikawa Freeman Mbowe kufutiwa mashitaka na kisha straight Ikulu kuzungumza na Rais....

The Palm Tree

JF-Expert Member
Apr 13, 2013
7,951
12,535
This is absolutely strange indeed.

Ni wazi kuwa Rais Samia Suluhu Hassan ameona mwezi, macho ya kuuona ukweli yamefumbuka.

Hebu jaribu kufikiri vizuri kidogo. Kwamba, Rais Samia Suluhu all the way kutoka Brussels - Belgium kuonana na kuzungumza na National CHADEMA Vice Chairpersnon, ndugu Tundu Lissu.

Jana, tukaona DPP aki - surrender mwenyewe kuendelea na kesi ya mchongo dhidi ya Mwamba Freeman Mbowe, The National CHADEMA Chairperson.

Lakini la kushangaza na pengine kutia moyo, ikiwa ni masaa machache tu baada ya kutoka gerezani, mwamba akaonekana Ikulu akifanya mazungumzo na Rais.

Baada ya kutoka kwenyevuwazi, wote kwa pamoja wakasisitiza kuwa maudhui ya mazungumzo yao msingi wake ni kufanya siasa za KUAMINIANA katika misingi wa HAKI na AMANI.

Honestly, mimi nimeipenda sana hii.

Kwangu mimi, nataka niamini kuwa kuwa, Mama Samia Suluhu Hassan, Rais wa JMT amezukiwa na mwanga wa neema na rehema ya Mungu muumba. Finally anaenda kukizika mazima kivuli cha Magufuli.

It's obviousily that, mabadiliko makubwa katika serikali yanakuja si muda mrefu...!

Naisubiri Press Conference ya M/kiti CHADEMA Taifa ndugu Freeman Mbowe kwa hamu sana.

Hata kama hatasema lolote lakini through body language tutaelewa tu kilicho nyuma ya movie hii.

Karibuni tena nyumbani kina Tundu Lissu, Godbless Lema, Hezekia Wenje, Roma Mkatoliki na wengine wote mliomkimbia wakala muuaji wa shetani. Sasa amezikwa rasmi, hata kivuli chake tu hakipo tena.!
 
Kuna watu wameshacheza vizuri karata zao za ushindi nyuma ya pazia tena wamemaliza calculations na possibilities zote. Tukutane uchaguzi mkuu 2030.

Mgombea wa CCM anaweza kuwa kati ya Dr.Mwigulu Nchemba, Dr.Philip Mpango au Dr.Emmanuel Nchimbi.

Siasa ni mchezo mchafu.
 
Tushukuru viongozi wa dini, mwenyekiti wetu alikuwa anafungwa aiseee
 
This is absolutely strange indeed...

Ni wazi kuwa Rais Samia Suluhu Hassan ameona mwezi, macho ya kuuona ukweli yamefumbuka...

Hebu jaribu kufikiri vizuri kidogo. Kwamba, Rais Samia Suluhu all the way kutoka Brussels - Belgium kuonana na kuzungumza na National CHADEMA Vice Chairpersnon, ndugu Tundu Lissu...

Jana, tukaona DPP aki - surrender mwenyewe kuendelea na kesi ya mchongo dhidi ya Mwamba Freeman Mbowe, The National CHADEMA Chairperson ....

Lakini la kushangaza na pengine kutia moyo, ikiwa ni masaa machache tu baada ya kutoka gerezani, mwamba akaonekana Ikulu akifanya mazungumzo na Rais.....

Baada ya kutoka kwenyevuwazi, wote kwa pamoja wakasisitiza kuwa maudhui ya mazungumzo yao msingi wake ni kufanya siasa za KUAMINIANA katika misingi wa HAKI na AMANI...

Honestly, mimi nimeipenda sana hii...

Kwangu mimi, nataka niamini kuwa kuwa, Mama Samia Suluhu Hassan, Rais wa JMT amezukiwa na mwanga wa neema na rehema ya Mungu muumba. Finally anaenda kukizika mazima kivuli cha Magufuli...

It's obviousily that, mabadiliko makubwa katika serikali yanakuja si muda mrefu...!

Naisubiri Press Conference ya M/kiti CHADEMA Taifa ndugu Freeman Mbowe kwa hamu sana....

Hata kama hatasema lolote lakini through body language tutaelewa tu kilicho nyuma ya movie hii...

Karibuni tena nyumbani kina Tundu Lissu, Godbless Lema, Hezekia Wenje, Roma Mkatoliki na wengine wote mliomkimbia wakala muuaji wa shetani. Sasa amezikwa rasmi, hata kivuli chake tu hakipo tena....!!
Lakn wale waliokua wakifanya mateso ya akina Tundu Lissu na akina Roma mkatoliki bado hawajakamatwa
 
This is absolutely strange indeed...

Ni wazi kuwa Rais Samia Suluhu Hassan ameona mwezi, macho ya kuuona ukweli yamefumbuka...

Hebu jaribu kufikiri vizuri kidogo. Kwamba, Rais Samia Suluhu all the way kutoka Brussels - Belgium kuonana na kuzungumza na National CHADEMA Vice Chairpersnon, ndugu Tundu Lissu...

Jana, tukaona DPP aki - surrender mwenyewe kuendelea na kesi ya mchongo dhidi ya Mwamba Freeman Mbowe, The National CHADEMA Chairperson ....

Lakini la kushangaza na pengine kutia moyo, ikiwa ni masaa machache tu baada ya kutoka gerezani, mwamba akaonekana Ikulu akifanya mazungumzo na Rais.....

Baada ya kutoka kwenyevuwazi, wote kwa pamoja wakasisitiza kuwa maudhui ya mazungumzo yao msingi wake ni kufanya siasa za KUAMINIANA katika misingi wa HAKI na AMANI...

Honestly, mimi nimeipenda sana hii...

Kwangu mimi, nataka niamini kuwa kuwa, Mama Samia Suluhu Hassan, Rais wa JMT amezukiwa na mwanga wa neema na rehema ya Mungu muumba. Finally anaenda kukizika mazima kivuli cha Magufuli...

It's obviousily that, mabadiliko makubwa katika serikali yanakuja si muda mrefu...!

Naisubiri Press Conference ya M/kiti CHADEMA Taifa ndugu Freeman Mbowe kwa hamu sana....

Hata kama hatasema lolote lakini through body language tutaelewa tu kilicho nyuma ya movie hii...

Karibuni tena nyumbani kina Tundu Lissu, Godbless Lema, Hezekia Wenje, Roma Mkatoliki na wengine wote mliomkimbia wakala muuaji wa shetani. Sasa amezikwa rasmi, hata kivuli chake tu hakipo tena....!!
Hivi Wenje nae hayupo nchini? Sikuwa nafahamu. Yupo nchi gani mkuu?
 
Naamini kupitia mazungumzo yao jana Samia personally amepata wasaa wa kumfahamu Mbowe ni mtu wa aina gani, sio kusikiliza ushauri wa wasaidizi wake waliompoteza walipomdangqnya wana ushahidi wa kutosha kumfunga Mbowe.

Hapo ndipo kiini cha mazungumzo yao yalipokuwepo, kila mmoja anajua mwenzake anahitaji nini, na ni jukumu lake kuhakikisha anafanikisha hitaji la mwenzake kulingana na nafasi aliyonayo, akienda kinyume na mapatano pasiwepo na kisingizio chochote wala kubambikiana kesi, watanzanja wanaona sio wajinga.
 
Kuna watu wameshacheza vizuri karata zao za ushindi nyuma ya pazia tena wamemaliza calculations na possibilities zote. Tukutane uchaguzi mkuu 2030.

Mgombea wa CCM anaweza kuwa kati ya Dr.Mwigulu Nchemba, Dr.Philip Mpango au Dr.Emmanuel Nchimbi.

Siasa ni mchezo mchafu.
Hao hata wakisimama na mdude chadema awatoboi
 
Uenda ni shinikizo toka nje Ili wasikose misaada, sidhani kama kwa ridhaa yao
 
Baada ya kutoka kwenyevuwazi, wote kwa pamoja wakasisitiza kuwa maudhui ya mazungumzo yao msingi wake ni kufanya siasa za KUAMINIANA katika misingi wa HAKI na AMANI...

Honestly, mimi nimeipenda sana hii..
Hii ni habari njema kwa watanzania wote wenye mapenzi mema.


Wale waliokuwa wakinufaika na migogoro ya nchi hii watafute kazi nyingine
 
Back
Top Bottom